Takalani Sesame
JF-Expert Member
- Jun 24, 2008
- 588
- 161
Mheshimiwa Tundu Lissu ni shujaa wangu wa wakati huu.
Wivu mbaya sana.
Onawaonea wivu wananchi wa singida mashariki kupata mbunge makini na jasiri Mhe Tundu Lissu(CHADEMA)
Nenda kawaonee huruma wananchi wa Iramba wenye mbunge Mzinzi Mhe Lameck Mwigulu Nchemba(CCM) au wananchi wa Mtera wanaoongozwa na Lusinde(CCM) mbunge mwenye kujua kutukana sana kuliko wabunge wote.
Mheshimiwa Tundu Lissu ni shujaa wangu wa wakati huu.
Alikosea tu kumpa dadayake kiti maalum kule bungeni. Vinginevyo ni mjengaji mzuri wa hoja na ni imara sana katika kuzisimamia.
........... ana udhati wa moyoni wa upendo wa nchi yake. Ameshaongea mengi ambayo ni makubwa na yanaweza hata kumgharimu kwa vyovyote vile lakini ameyasema. Ni mtendaji wa uhakika, hana hata chembe ya kashfa yeyote, ana uwezo mkubwa kiakili na hawezi kukosa kazi nzuri zaidi ya hii ya siasa anayoifanya akaishi maisha yake mazuri mno.
Wana JF kikubwa ninachotaka kusema, ukweli unabaki pale pale kwamba kwangu mimi Tundu Lisu ndiye mwanasiasa ninayeamini ana utashi wa dhati na ni msafi hadi moyoni mwake. Kama huwa anapitia JF basi atambue kuwa kuna mtu angalau anamtazama katika taswira ya namna hii na ajiimarishe katika hili bila kujalisha anaweza kuja kuwa Raisi wetu ama la! Thawabu zake kwa Mungu zipo.
nawahurumia wananchi wa hai wanaoongozwa na disko joker aka mzee wa madanguro,watoto wetu ndio wanajifunzia ushoga na usagaji pale, nawahurumia wananchi wa kawe wanaoongozwa na msagaji
..watanzania bwana ni watu wa ajabu,mnakumbuka sifa mlizompa Dr.Kabouru?mpaka wengine waliachana na wake zao wengine walipata kilema cha maisha,sasa hivi yuko wapi, kiujumla mi simwamini mwanasiasa yoyote wa hapa tz
Siku zote alie nje ya kiwanja ndio anakosoa mchezaji, ngoja aingie yeye uwanjani utaona jinsi atakavyocheza, likipigwa raggae yeye atacheza blues.
Na huyo Lissu wenu ndio itakavyokuwa, mtasema afadhali ya Mrema......!
Da huyu jamaa ukiambia aliyoyafanya unaweza kuogopa!!!Kaulize sekta ya madini!!!!kawaulize kimataifa kafanya yapi, yanayomtambulisha kama mmoja ya watu wenye ufahamu mkubwa sana kwenye sheria.Alipoyatamka Rais wako kuwa ni heri DK Slaa awe Rais na sio TINDU Lissu kuwa Mbunge alimaanisha hivyo kwa kuwa File la TINDU LISSU kama raia wa Tanzania na yeye kama Rais wa Taifa tayari lilishafika mezani kwake toka jumuhiya za kimataifa wakitambua uwezo wa jamaa.Tafiti utajua kwanini baadhi ya wadau wanamuona kama next Presdiential Candidate via CDM huku DK SLAA akiwa ndie the leading Candidate kwenye opposition parties.Nimewauliza ndugu zangu wanipe wasifa na alivyofanikisha maishani. Sioni mtu anayejaribu kunipa hilo.
Alikosea tu kumpa dadayake kiti maalum kule bungeni. Vinginevyo ni mjengaji mzuri wa hoja na ni imara sana katika kuzisimamia.
Kwao wapo safi kikawaida tu sio watu wa kutafuta mali wawe matajiri bali ni watu wenye kupenda usawa wa jamii yote