Heshima yenu wana Chit Chat, jana jioni nimetumiwa pesa kwa M-Pesa na mtu nisiyemjua na jina limeonyesha ni la kike. Nilipoipiga namba hiyo haikupatikana mpaka sasa haipatikani.
Hapa nilipo nimeuawa vibaya mno na shilingi 200,000/- zimejileta bila jasho. Wakuu niitumie hii pesa na madhara ni yepi endapo sintaitumia au nikiitumia.
Hapa nilipo nimeuawa vibaya mno na shilingi 200,000/- zimejileta bila jasho. Wakuu niitumie hii pesa na madhara ni yepi endapo sintaitumia au nikiitumia.