Sikwepeshi
Senior Member
- Jan 26, 2012
- 162
- 18
- Thread starter
- #21
Hawezi kuahirisha ndoa? Maana nafikiri ni lazima amwarifu mke wake mtarajiwa kuhusu mtoto wake kabla ya ndoa kufanyika, ili mke ajue kwa kweli anayeolewa naye ni mtu wa aina gani. Akae naye akamwambia kwa utulivu na utaratibu mke asishtushwe mno. I guess naye angetaka kujua mapema yawezekanavyo kama mke angekuwa na mtoto nje, basi amtendee kama vile naye angetaka kutendewa...
Kutoka na mwenendo wake, yaonekana mke anajua tayari anyway, labda anataka rafiki yako amwambie yeye mwenyewe ili kujua kiasi gani anaweza kumwamini.
sijamuuliza khs kuhairisha ndoa,i will tok to him abt that thnx.