mangulumbwisi
Member
- Apr 19, 2012
- 77
- 22
JF Dr
Nina ujauzito wa miezi mitatu, tatizo ninatapika mara kwa mara, nilienda hospital nikapewa dawa (NOSIC) nilimeza kwa muda wa wiki 1 zilisaidia kidogo ila tatizo linaendelea, pamoja kuwa nameza dawa lakini bado narudisha chenji ile mbaya mpaka hata kwenye daladala.Je nile nini matunda gani nizuie hii hali nateseka sana,NB nimepima Malaria nipo sawa, nimepima mkojo nipo sawa.nisaidieni nataseka jamani mwenzenu, kweli kazi ya uumbaji ni kubwa sana.
Nina ujauzito wa miezi mitatu, tatizo ninatapika mara kwa mara, nilienda hospital nikapewa dawa (NOSIC) nilimeza kwa muda wa wiki 1 zilisaidia kidogo ila tatizo linaendelea, pamoja kuwa nameza dawa lakini bado narudisha chenji ile mbaya mpaka hata kwenye daladala.Je nile nini matunda gani nizuie hii hali nateseka sana,NB nimepima Malaria nipo sawa, nimepima mkojo nipo sawa.nisaidieni nataseka jamani mwenzenu, kweli kazi ya uumbaji ni kubwa sana.