Huna pesa wewe, ungekuwa nazo usingekuja kuandika mashudu,mademu wenyewe hawa ukiwa na hela ya kula tu na ghetto lenye subwoofer na tv flat 32" tu utawakimbia.kama pesa ninazo za kutosha lakini siwapati Ata sijui nakosea wapi
soma kwanza upate elimu na maarifa ya kutongoza na pia kujikimu kimaisha mwone 19yrs unatongoza??Jamani mi nikijana WA miaka 19
Ata sijui ninatatizo gani kila nikijaribu kumtongo mwanamke ukataa sasa sijui huwa nakosea wapi naombeni msaada wenu
a bado mtoto ndio maana unaona vichenchi vyako vya sabuni ni pesa unayo tayari. Kapige book dogo hii mambo ipo tuu, ipo siku watakuzunguka kama wewe P.I.M.Pkama pesa ninazo za kutosha lakini siwapati Ata sijui nakosea wapi
Wanakuona bado dentJamani mi nikijana WA miaka 19
Ata sijui ninatatizo gani kila nikijaribu kumtongo mwanamke ukataa sasa sijui huwa nakosea wapi naombeni msaada wenu
nenda shule kasome dogo huo umri unatakiwa kuwa chuo unakula book sio kutuchosha wazazi wako humuJamani mi nikijana WA miaka 19
Ata sijui ninatatizo gani kila nikijaribu kumtongo mwanamke ukataa sasa sijui huwa nakosea wapi naombeni msaada wenu
Jamani mi nikijana WA miaka 19
Ata sijui ninatatizo gani kila nikijaribu kumtongo mwanamke ukataa sasa sijui huwa nakosea wapi naombeni msaada wenu
Hahahaha Jamaa hajui kwamba sio kila mwanamke ni wakutongozwa, hilo ndio kosa lake, anakosea timing tu