Nifanyaje ili niweze kumvutia mwanamke

dah! hahaha umenikubusha mbali mm wakati Nina umri Kama wako tayari nilishamega wadada wasiopungua 10..ila sikushauri ufanye hivyo dunia ya sasa imeharibika na siku hizi kuna magonjwa chungu nzima we kazana na elimu upate kazi ya maana mbona utawachoka
 
Jipakae ulimbo man afu jifunze kuongopa manake katika utongozaji ukitumia akili za darasani hupati kitu...Tumia za nje ya darasa utanipa feedback
 
Mi ni dogo mwenzako ila hili swala la wewe kuomba ushauri wa jinsi ya kuwa na mvuto ni la kipuuzi,dogo mwenzangu tupige shule,au tujitengenezee njia nzuri kwanza,haya mambo tuende nayo taratibu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom