nitonye JF-Expert Member Dec 18, 2011 7,273 3,750 Feb 12, 2012 #2 Ndio zake kushikwa shikwa kitambi halafu anamwaga mshiko maana hata akipewa kitumbua hawezi kukila na mtumbo wote ule
Ndio zake kushikwa shikwa kitambi halafu anamwaga mshiko maana hata akipewa kitumbua hawezi kukila na mtumbo wote ule
kichomiz JF-Expert Member Feb 28, 2011 19,011 11,942 Feb 12, 2012 #4 Viwavi wachumia matumbo,siwapendi kabisa hawa watu.
MGAWARIZIKI JF-Expert Member Dec 16, 2010 305 47 Feb 12, 2012 #7 Nakuona umetokelezea mzee mzima totoz kwa pembeni wakati ni wako huu fanya kweli Komba!
Inkoskaz JF-Expert Member Nov 6, 2010 6,372 2,375 Feb 12, 2012 #8 View attachment 47210 Dokii,Mpoki,Vicky Kamata,Hafsa Kazinja
Shine JF-Expert Member Feb 5, 2011 11,481 1,364 Feb 13, 2012 #9 Kweli hela nouma maana kama siyo hela kipipa kama hiki sidhani kama kingepata vibinti kama hivi vyakukichezea hicho kitambi kama hivyo
Kweli hela nouma maana kama siyo hela kipipa kama hiki sidhani kama kingepata vibinti kama hivi vyakukichezea hicho kitambi kama hivyo
Buswelu JF-Expert Member Aug 16, 2007 1,998 352 Feb 13, 2012 #12 Kila Doki anapo simama au kuimba jukwaani mkao wake na anavyo simama vinanipa mashaka sana...kama anabana kitu nyuma....washamharibu...!!
Kila Doki anapo simama au kuimba jukwaani mkao wake na anavyo simama vinanipa mashaka sana...kama anabana kitu nyuma....washamharibu...!!