Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 576
- 1,626
Wakuu,
Tunajua "Upungufu wa Umeme" bado upo, na ratiba inafuatwa vilivyo!
Wengi wetu shughuli za kutupa michuzi ziko mchana na kwa kiasi kikubwa zinategemea umeme. Hii inafanya kukosekana kwa umeme kwa siku nzima kutupa hasara kubwa na kwa namna fulani kuturudisha nyuma kwenye harakati zetu.
Kwako vipi, kukosekana kwa umeme kutwa nzima kunaathiri vipi harakati zako za kusaka michuzi?
Tunajua "Upungufu wa Umeme" bado upo, na ratiba inafuatwa vilivyo!
Wengi wetu shughuli za kutupa michuzi ziko mchana na kwa kiasi kikubwa zinategemea umeme. Hii inafanya kukosekana kwa umeme kwa siku nzima kutupa hasara kubwa na kwa namna fulani kuturudisha nyuma kwenye harakati zetu.
Kwako vipi, kukosekana kwa umeme kutwa nzima kunaathiri vipi harakati zako za kusaka michuzi?