1. Chukua namba ya huyo jamaa wa mapokezi incase siku wakija akufahamishe in advance well you can tip him/her some little amount of money
2. Binti anaweza kubadilisha kiwanja baada ya kuwa amegundua kuwa umeishambamba tayari
3. Muulize jamaa yako kama anaweza akaweka GPS locator kwenye simu ili ajue GF huwa anakuwa wapi, its possible sema wengi wetu hawajui how it works
NB: Usimwambie kuwa mimi ndio nimekupa huu ujafanja
Kama kweli jamaa ni rafiki yako wa dhati mwambie A to Z bila kumumunya maneno aisee!Unaposimama kwenye ukweli usifikirie matokeo yake,vinginevyo urafiki wenu ni wamashaka.
jamani ndoa ni looooong commitment,mimi ningemwambia,kwani huyo jamaa akijua kama rafiki anajua,si atamuona mbaya?asimshauri cha kuamua ila ni vizuri aujue ukweli.na huyo dada jamani,dec atavishwa pete na yeye ndio anafanya upuuzi huo.huyo ndoa hatoiweza
1. Chukua namba ya huyo jamaa wa mapokezi incase siku wakija akufahamishe in advance well you can tip him/her some little amount of money
2. Binti anaweza kubadilisha kiwanja baada ya kuwa amegundua kuwa umeishambamba tayari
3. Muulize jamaa yako kama anaweza akaweka GPS locator kwenye simu ili ajue GF huwa anakuwa wapi, its possible sema wengi wetu hawajui how it works
NB: Usimwambie kuwa mimi ndio nimekupa huu ujafanja
Unatoa maujanja halafu unakaa pembeni...ahaaa unafikiri nani anapenda kusutwa lol...naogopa kuletewa matarumbeta na kadogoliAhhaha mwenzangu unaogopa kusutwa lol!
Tafuta line mpya ya simu, muandikie message huyo jamaa wako maelezo yote kuhusu GF wake, halafu mwambie na yy achunguze, usimwambie ww ni nani! kisha itupe line hiyo.Nina rafiki yangu ambae tumetoka nae mbali sana, ni zaidi ya rafiki kwangu mana tunaishi kama ndugu kabisa. Jamaa yangu ana GF wake ambae amejiandaa atamvisha pete desemba hii, na wafunge ndoa april 2012. Jamaa anampenda sana huyu binti, tatizo ni nimekuja kugundua huyu binti si MWAMINIFU KABISA kwa jamaa yangu. Nimejua hili baada ya kumfuma live akiingizwa lodge kwenda kumegwa.Hapo lodge hawana bar kubwa ila kaunta ndogo ya vinywaji va wateja wanaolala na masofa pembeni ya wageni wa vinywaji tu. Siku moja mimi nkiwa nko mapokezi kaunta nateremsha lager akaja na mwanaume wakabuku chumba, ile anajeuka akakuta namwangalia. Akaja kunisalimia kwa kweli alitetemeka sana. Mpaka kajasho kakawa kanamtoka. Na alivo na bahati mbaya, mimi hupenda kunywa hapo, so nlishamwona 3times. Mara mbili hakuniona. Nikamuuliza kiujanja mtu wa pale mapokezi kuwa huyu dada kila nkija kunywa hapa nae huja kulalaga. Yule mtu wa mapokezi akanambia, huyu dada huwa anakujaga kulala hapo mara 2 au 3 kwa kila mwezi na huyo mwanaume.
Kwa kweli nimehuzunika sana. Jinsi ya kuanza kumwambia jamaa kuwa GF sio mwaminifu ndo inanishinda.
Mshkaji yani kapenda kama vile amewekewa dawa.
Wadau embu nipeni msaada wa jinsi ya kumweleza ukweli jamaa yangu huyu ajue afanyaje mapema.
Hawezi hadili kiwanja yawezekama kabisa huyo jamaa ane enda naye kwenye hiyo lodge amepewa nafasi ya kwanza yaana anajijua kwamba yupo peke yake kwa hali hiyo basi mdada akimwambia wabadilishe sehemu jamaa lazima aingie wasiwasi.dah ila imaumaa!!!!!!!!!!!!!!lakini kama huyo dada kamuona rafiki wa jamaa anaweza kubadili kiwanja pia...
kunyamaza atakuwa anaharibu maana tayari binti anapepo la uharibifu hata akimuonya haitasaidia kinachotakiwa ni kumlengesha tu kwa jamaa yako harafu yeye akisha jionea ni uamzi wake sasa kunyoa au kusuka. maana ndoa ni msalaba sasa inategemea utakuwa mzito au mwepesimuonye binti wewe mwenyewe kwa kuwa mmeshakutana huko kwenye uzi... wenu. Asiposikia unyamaze milele
Tafuta line mpya ya simu, muandikie message huyo jamaa wako maelezo yote kuhusu GF wake, halafu mwambie na yy achunguze, usimwambie ww ni nani! kisha itupe line hiyo.
Unatoa maujanja halafu unakaa pembeni...ahaaa unafikiri nani anapenda kusutwa lol...naogopa kuletewa matarumbeta na kadogoli
Just mind yo own business coz ata uyo rafki ako anaeza kua ana mambo yake vilevile..nobody is perfect in this evil world..drop the issue
kunyamaza atakuwa anaharibu maana tayari binti anapepo la uharibifu hata akimuonya haitasaidia kinachotakiwa ni kumlengesha tu kwa jamaa yako harafu yeye akisha jionea ni uamzi wake sasa kunyoa au kusuka. maana ndoa ni msalaba sasa inategemea utakuwa mzito au mwepesi
Hawezi hadili kiwanja yawezekama kabisa huyo jamaa ane enda naye kwenye hiyo lodge amepewa nafasi ya kwanza yaana anajijua kwamba yupo peke yake kwa hali hiyo basi mdada akimwambia wabadilishe sehemu jamaa lazima aingie wasiwasi.dah ila imaumaa!!!!!!!!!!!!!!
Just mind yo own business coz ata uyo rafki ako anaeza kua ana mambo yake vilevile..nobody is perfect in this evil world..drop the issue