Wakuu.
Nisaidieni hapa...Mwalimu Nyerere alikusudia nini aliposema hivi? JE wakati umefika?
"Kwa kweli hata kesho Nchi za Afrika ya Mashariki zikiamua kuungana, na Tanzania ikawa ni mshiriki, naamini kuwa ni rahisi zaidi kushirikisha Tanzania yenye Serikali Mbili - ya Zanzibar na ya Tanganyika - kuliko Tanzania yenye Serikali Mbili, ya Tanzania na ya Zanzibar. Wapendao Utanganyika watakuwa wazalendo zaidi, badala ya kuwa wasaliti, wakiazimia Afrika ya Mashariki iliyoungana kuwa Nchi Moja. kuliko Tanzania iliyotengana ikawa nchi mbili."
Uongozi Wetu Na Hatma Ya Tanzania (by Nyerere)
Tunajua kuwa tumeifufua EAC na pia kuna fast track ya kuelekea EA Federation. Leteni mawazo yenu.
Soma uk. 10-12.
Nisaidieni hapa...Mwalimu Nyerere alikusudia nini aliposema hivi? JE wakati umefika?
"Kwa kweli hata kesho Nchi za Afrika ya Mashariki zikiamua kuungana, na Tanzania ikawa ni mshiriki, naamini kuwa ni rahisi zaidi kushirikisha Tanzania yenye Serikali Mbili - ya Zanzibar na ya Tanganyika - kuliko Tanzania yenye Serikali Mbili, ya Tanzania na ya Zanzibar. Wapendao Utanganyika watakuwa wazalendo zaidi, badala ya kuwa wasaliti, wakiazimia Afrika ya Mashariki iliyoungana kuwa Nchi Moja. kuliko Tanzania iliyotengana ikawa nchi mbili."
Uongozi Wetu Na Hatma Ya Tanzania (by Nyerere)
Tunajua kuwa tumeifufua EAC na pia kuna fast track ya kuelekea EA Federation. Leteni mawazo yenu.
Soma uk. 10-12.