Ni Zanzibar ipi wanaitaka?

hii ni sahihi kabisa WA Zanzibar si wamoja hata kidogo. Umoja wao unatokana na kuchukia bara. nilikuwa kule kipindi cha uchaguzi - wale wana uhasama sana
siku wakiachwa watachinjana sana na hakutakuwa na kitu kinaitwa Zanzibar na tuombe Mungu siku hiyo isitokee

Zanzibar ipo kabla ya Tanganyika Mkuu.

Wazanzibari wametambua fitna zenu mlizowaingiza nazo na sasa wanataka haki yao mlioipora kwa nguvu za dola yenu ya Tanganyika.

Hizo ndio fitna alizokuja nazo Nyerere wakati wa kumghilibu Mzee Karume lakini hata yeye aliona kero na akawahi kumwambia Dr. Omar (late SMT VP),

"Viongozi wetu hawana la maana kuwaeleza wananchi wao, isipokuwa Hizbu,imefanya hili na Sultani alikuwa akifanya lile na lile.Jee, jamani vijana wetu tuliokuwa nao, hivi sasa ni nani anaeijuwa Hizbu ni nani anaemjuwa Sultani? Hivi kweli hamna zaidi ya haya kuwaeleza wananchi?"

Sasa mnaona Wazanzibari wanakuja juu mnaanza kushtuka na kuchonga sana tu

Zanzibar for Zanzibaris
 
hii ni sahihi kabisa WA Zanzibar si wamoja hata kidogo. Umoja wao unatokana na kuchukia bara. nilikuwa kule kipindi cha uchaguzi - wale wana uhasama sana
siku wakiachwa watachinjana sana na hakutakuwa na kitu kinaitwa Zanzibar na tuombe Mungu siku hiyo isitokee

chuki inaweza kuunganisha tu kwa kadiri ya kwamba kile kichukiwacho bado kipo. Watu weusi kule Afrika ya Kusini walikuwa wameungana kwa kiasi kikubwa sana kupinga ubaguzi wa rangi na utawala wa wazungu wachache. Baada ya mfumo huo kudongoka mambo ya Zuma na Mbeki yakatokea!

Ilikuwa hivi hivi katika ile Rainbow Coalition ya Kenya ambapo walichokuwa wanakichukia KANU kilipokuwa madarakani; walipoweza kuiondoa KANU wakajikuta kumbe siyo wamoja. Na hili limenifanya mara zote mimi kuukataa Muungano wa upinzani ambao unaunganisha kwa ajili ya kuiondoa CCM madarakani tu - yaani muungano unaotokana na chuki dhidi ya CCM. Muungano wa namna hiyo ni mzuri kwa kadiri ya kwamba CCM bado ipo madarakani.

Na hili nalo ni kweli kwa Wazanzibar; kwa kadiri ya kwamba bado wako ndani ya Muungano basi kuna kitu kinachowaunganisha yaani chuki dhidi ya Bara. Lakini pindi wakitoka kwenye Muungano watajikuta wako pale pale Pre-Shamte situation. Itabidi waanze kupanga muaffaka wa utawala kati ya Pemba na Unguja.

Pemba watataka na wenyewe wawe na sauti katika serikali ya Zanzibar lakini Unguja watasema haiwezekani kuangalia mambo ya uwiano wakati Pemba ni kisiwa kidogo kulinganisha na Unguja. Hivyo Wapemba wataona kuwa wananyanyaswa na Waunguja - ambao ina watu wengi wa bara vile vile. Pemba na wenyewe watataka kuwa na Jamhuri yao ya Pemba - Unguja haitoweza kuwakatalia kwani mantiki iliyotumika kuidai "Zanzibar" ndio hiyo hiyo itatumika kuidai Pemba kwani kutakuweko na "kero" nyingi tu ambazo zimewahi kuwepo huko nyuma.

Zanzibar inaweza kabisa kutoka katika Muungano hata kesho; lakini ni wasiotaka kufikiria tu ndio wanadhani kuwa wakifanya hivyo basi "Zanzibar mpya itakuja". Jamani siyo Iran wala Iraq, siyo US wala Uingereza, siyo Uturuki wala Ugiriki na wala siyo Namibia ambayo imeweza kuponya majeraha yote ya maumivu ya kihistoria yanatokana na kubaguana.

Wazanzibar wanataka tuamini kuwa wao watafanay hivyo kwa raha mustarehe; tukiuwaliza kwa nini watafanya hivyo wanasema "kwa sababu sisi ni Wazanzibari".
 
Takashi,
Tafdhali jibu hoja kama zinavyoletwa na wachangiaji. Tumewahi kukuonya kuwa hili si jukwaa la matusi, na kama ungependa hivyo rudi mzalendo.net. Usituvurugie mjadala kwa kupachika hoja chini ya kiwango na matusi, nadhani umekuwa kero ndani ya mjadala.

Tunaongelea muungano wa Tanzania ndio mada. Soma hapo juu utathimini mwenyewe kama unafaa kuwa sehemu ya mjadala huu, vinginevyo unawadhalilisha wenzako. Tafadhali waache wenye hoja na akili wasemezane.

Hili si jukwaa la kupiga mayowe, jibu hoja kwa hoja kama huna kaa kimya. Tunajua wenzetu huwa mna jazba, tunajua pia mnauwezo wa kujifunza kutoka kwa wenzenu, tafadhali ustaarabu na staha utakayoonyesha itawasitiri wazanzibar wote na aibu unayowatia.

Mimi sio brain washed, na wala sijawahi kumuabudu yule "DİKTETA"... mimi nitaendelea kukufahamisha kama huwezi kuwa mtawala kama wewe mwenyewe masikini...JENGA NCHI YAKO ,KUZA UCHUMI WAKO, WAPE AJIRA RAIA WAKO BAADAE NDIO FIKIRIA KUMTAWALA MWENGINE...
 
chuki inaweza kuunganisha tu kwa kadiri ya kwamba kile kichukiwacho bado kipo. Watu weusi kule Afrika ya Kusini walikuwa wameungana kwa kiasi kikubwa sana kupinga ubaguzi wa rangi na utawala wa wazungu wachache. Baada ya mfumo huo kudongoka mambo ya Zuma na Mbeki yakatokea!

Ilikuwa hivi hivi katika ile Rainbow Coalition ya Kenya ambapo walichokuwa wanakichukia KANU kilipokuwa madarakani; walipoweza kuiondoa KANU wakajikuta kumbe siyo wamoja. Na hili limenifanya mara zote mimi kuukataa Muungano wa upinzani ambao unaunganisha kwa ajili ya kuiondoa CCM madarakani tu - yaani muungano unaotokana na chuki dhidi ya CCM. Muungano wa namna hiyo ni mzuri kwa kadiri ya kwamba CCM bado ipo madarakani.

Na hili nalo ni kweli kwa Wazanzibar; kwa kadiri ya kwamba bado wako ndani ya Muungano basi kuna kitu kinachowaunganisha yaani chuki dhidi ya Bara. Lakini pindi wakitoka kwenye Muungano watajikuta wako pale pale Pre-Shamte situation. Itabidi waanze kupanga muaffaka wa utawala kati ya Pemba na Unguja.

Pemba watataka na wenyewe wawe na sauti katika serikali ya Zanzibar lakini Unguja watasema haiwezekani kuangalia mambo ya uwiano wakati Pemba ni kisiwa kidogo kulinganisha na Unguja. Hivyo Wapemba wataona kuwa wananyanyaswa na Waunguja - ambao ina watu wengi wa bara vile vile. Pemba na wenyewe watataka kuwa na Jamhuri yao ya Pemba - Unguja haitoweza kuwakatalia kwani mantiki iliyotumika kuidai "Zanzibar" ndio hiyo hiyo itatumika kuidai Pemba kwani kutakuweko na "kero" nyingi tu ambazo zimewahi kuwepo huko nyuma.

Zanzibar inaweza kabisa kutoka katika Muungano hata kesho; lakini ni wasiotaka kufikiria tu ndio wanadhani kuwa wakifanya hivyo basi "Zanzibar mpya itakuja". Jamani siyo Iran wala Iraq, siyo US wala Uingereza, siyo Uturuki wala Ugiriki na wala siyo Namibia ambayo imeweza kuponya majeraha yote ya maumivu ya kihistoria yanatokana na kubaguana.

Wazanzibar wanataka tuamini kuwa wao watafanay hivyo kwa raha mustarehe; tukiuwaliza kwa nini watafanya hivyo wanasema "kwa sababu sisi ni Wazanzibari".

The same negative preaching... Zanzibar will soon be free... LOVE OR HATE IT...
 
Haya munayoyasema kua ikitoka ktk muungano Zanzibar ya tatokea watabaguana,watapinduana nk.
Mbona hayo yalikua ni mambo ya kizamani ambaya hata Tanganyika yalitokea mara nyingi majaribio ya kimapinduzi wakati wa uongozi wa Nyerere? je mbona haya mapindizi iwe vitisho kwa zanzibar tu na si Tanganyika ?

Kuhusu ubaguzi sijawahipo kusikia mapigano hata siku moja kati ya Unguja na Pemba wala mapigano ya raiya kwa raiya kabla ya mapinduzi na baada.

nikijuacho ni raiya na polisi ndio hutokea kila uchaguzi ukitoa huu 2010.

Lakini Tanganyika mara ngapi tumesikia makabila yana pigana hadi wakuu wa mikoa huingilia kati.je hofu tuielekeza znz au T,nyika?
 
Haya munayoyasema kua ikitoka ktk muungano Zanzibar ya tatokea watabaguana,watapinduana nk.
Mbona hayo yalikua ni mambo ya kizamani ambaya hata Tanganyika yalitokea mara nyingi majaribio ya kimapinduzi wakati wa uongozi wa Nyerere? je mbona haya mapindizi iwe vitisho kwa zanzibar tu na si Tanganyika ?

Kuhusu ubaguzi sijawahipo kusikia mapigano hata siku moja kati ya Unguja na Pemba wala mapigano ya raiya kwa raiya kabla ya mapinduzi na baada.

nikijuacho ni raiya na polisi ndio hutokea kila uchaguzi ukitoa huu 2010.

Lakini Tanganyika mara ngapi tumesikia makabila yana pigana hadi wakuu wa mikoa huingilia kati.je hofu tuielekeza znz au T,nyika?

Ni wazi huijui historia ya karibuni ya Zanzibar... Unafikiri kilichosababisha Mapinduzi ni nini hasa? Nyerere?
 
@ NGURUVI 3

Hili neno nishati tukilitumia zanzibar itabidi mafuta yagawiwe lakini usisahau kua na Dhahabu,Alimasi,T,night,Gesi itabidi zigawiwe na ndivyo makubaliano ya muungano 11 yalivyotaka sasa ni shati yasiwe mafuta ya zanzibar tu.

Unasema"Wanasema Luxenbourg ina watu 500,000 lakini inapewa uongozi EU, sijui wanajua kuwa ile ni european union kama E.A.C ambayo uongozi unazunguka na sasa tuna katibu mkuu kutoka Rwanda n.k. Utafananishaje na muungano wa nchi. Je tuchague watu tu kwa jiografia au uwezo." Hapa na kubaliana na wewe kwa kua unataka kusema Tanzania ni nchi moja ndio ukatoa mifano ya wamakondo na waha na watadai IGP pia, ok ndio utakavyo.

Angalia na hapa unavyo sema#" Wanasema Bara wanawatoza kodi ndio maana biashara inakufa, ha! walitaka vitu viingie znz halafu watumie mgongo wa muungano kuviingiza bara bure, changu ni chako, chako ni chetu!"# Sasa hapa sijui kwanini usiuone udhaifu wa nchi moja kutozwa ushuru mara mbili na chombo kiitwacho TRA. nilitarajia mshangao kutoka kwako na mifano k kama hiyo ya juu Kua mbona ukilipa Arusha, Mtwara,Tanga isiwe sawa na zanzibar? mtu akalipa mara moja tu, au ndio kama maneno yako " changu ni chako, chako ni chetu!"?
 
=Albimany;1906886]@ NGURUVI 3
Hili neno nishati tukilitumia zanzibar itabidi mafuta yagawiwe lakini usisahau kua na Dhahabu,Alimasi,T,night,Gesi itabidi zigawiwe na ndivyo makubaliano ya muungano 11 yalivyotaka sasa ni shati yasiwe mafuta ya zanzibar tu.
Unaposema yagawiwe una maana ipi, nasema hivi kwasababu gharama za kuendesha serikali za muungano zinachangiwa kutoka katika nishati hizo.
Fikiria wafanyakazi wznz ndani ya JMT wanalipwa na nani, madeni yanayotokana na huduma zisizowafaidisha Tanzania bara bado JMT inalipa n.k.
Nadhani ni vema tukaangalia input ya znz zaidi na si kugawana. Mfano, wanaosoma elimu ya juu hawapewi mikopo kutoka SMZ, na wapo kama akina Maalim seif walisoma bure, hapo hawakufaidika na rasimali za Tanganyika. Unapokuwa na umeme usiolipia au rahisi kuliko Tanzania bara au kutokuwa na mgao hili si sehemu ya kugawana rasilimali. Wakati Dkt Salimin anaondoka mishahara ilitoka JMT, je hii si kugawana rasimali.
Utaratibu wa kugawana au matumizi ya nishati unaweza jadiliwa, lakini ukitanguliza mafuta si sehemu ya, haileti maana. Tuangalie the issue in wider prism.

kwanini usiuone udhaifu wa nchi moja kutozwa ushuru mara mbili na chombo kiitwacho TRA. nilitarajia mshangao kutoka kwako na mifano k kama hiyo ya juu Kua mbona ukilipa Arusha, Mtwara,Tanga isiwe sawa na zanzibar? mtu akalipa mara moja tu, au ndio kama maneno yako " changu ni chako, chako ni chetu!"

Kilichotokea ni Znz kusema bandari isiye suala la muungano, wakaambiwa haya na iwe, baadaye wakasema znz ni bandari huru! kilichotokea ni wao kupokea bidhaa na ushuru utokanao halafu bidhaa zinaingia bara kwa jina la Muungano. Hii ikiachiwa maana yake kila mtu atapitishia bidhaa znz na kulipa kidogo halafu soko ni la muungano. Ndiyo maana TRA wakasema bidhaa ikitoka znz itozwe ushuru.
Bidhaa inayoingia Namanga haitozwi ushuru Dar es Salaam unajua hilo.
Hakuna malalamiko, anayeona anatozwa ushuru mara mbili ana hiari ya kuuza bidhaa zake znz, Kenya au Uganda. Naunga mkono SMZ kwa kupitia bandari na vyombo vya biashara na kodi watoze bidhaa za kutoka bara ushuru ili wapate mapato. Vinginevyo tuwe na chombo kimoja.
 
Ukweli ni thawabu si dhambi lakini unafiki una aya yake, muogopeni mwenyezi mungu kwa kauli zenu.

haswaaaaaaaaa....:amen: for that.... lakini kitu kimoja mkuu!! kelele zimekuwa nyingi kiasi kwamba zimekuwa kero kushinda huo muungano wenyewe, ukiangalia uwezo wa kudai nchi yao wanao.. kuna wa znzbr Dar... waandamane hadi magogoni pale wadai nchi yao. sio kelele tuu kila siku initiatives za maana hawafanyi.. nikitembea mzalendo.net natarajia kukuta labda kuna hatuwa mbele wamepiga kudai nchi.. sikuti hilo zaidi ya matusi kuelekezwa.. kwa nyerere, watangayika, nakumbuka kuna mmoja akawatukana hadi waislamu wabara eti hawajui dini watoto wao watembea uchi ndio maana wameshindwa na mahakama ya kadhi .... etcl.... hasira zao zimegeuka chuki..... nitafurahi wakiondoka kwenye huu muungano.
 
Maana tumesema sana wafanye referendum lakini viongozi wao kila siku wanalilia madaraka zaidi ili wapate kusindikizwa na mapikipiki na kulindwa na usalama wa Taifa.. Mimi nataka kumsikia Maalim Seif akirudia ule usemi wake kwamba anaitaka Zanzibar huru baada ya kupewa faraja ya roho yake..

huo utakuwa ni mtihani kubwa kwa maalim seif kwa sasa........
 
haswaaaaaaaaa....:amen: for that.... lakini kitu kimoja mkuu!! kelele zimekuwa nyingi kiasi kwamba zimekuwa kero kushinda huo muungano wenyewe, ukiangalia uwezo wa kudai nchi yao wanao.. kuna wa znzbr Dar... waandamane hadi magogoni pale wadai nchi yao. sio kelele tuu kila siku initiatives za maana hawafanyi.. nikitembea mzalendo.net natarajia kukuta labda kuna hatuwa mbele wamepiga kudai nchi.. sikuti hilo zaidi ya matusi kuelekezwa.. kwa nyerere, watangayika, nakumbuka kuna mmoja akawatukana hadi waislamu wabara eti hawajui dini watoto wao watembea uchi ndio maana wameshindwa na mahakama ya kadhi .... etcl.... hasira zao zimegeuka chuki..... nitafurahi wakiondoka kwenye huu muungano.

Sasa ulitegemea wakae kimya wakati mnawakandamiza ? Mimi nitafurahi vile vile mkiwa na serikali yenu ya Tanganyika.... Mnatumia serikali ya muungano kwa ujanja...both mshirika wa muungano at the same time "master" wa muungano.
 
Unaposema yagawiwe una maana ipi, nasema hivi kwasababu gharama za kuendesha serikali za muungano zinachangiwa kutoka katika nishati hizo.
Fikiria wafanyakazi wznz ndani ya JMT wanalipwa na nani, madeni yanayotokana na huduma zisizowafaidisha Tanzania bara bado JMT inalipa n.k.
Nadhani ni vema tukaangalia input ya znz zaidi na si kugawana. Mfano, wanaosoma elimu ya juu hawapewi mikopo kutoka SMZ, na wapo kama akina Maalim seif walisoma bure, hapo hawakufaidika na rasimali za Tanganyika. Unapokuwa na umeme usiolipia au rahisi kuliko Tanzania bara au kutokuwa na mgao hili si sehemu ya kugawana rasilimali. Wakati Dkt Salimin anaondoka mishahara ilitoka JMT, je hii si kugawana rasimali.
Utaratibu wa kugawana au matumizi ya nishati unaweza jadiliwa, lakini ukitanguliza mafuta si sehemu ya, haileti maana. Tuangalie the issue in wider prism.



Kilichotokea ni Znz kusema bandari isiye suala la muungano, wakaambiwa haya na iwe, baadaye wakasema znz ni bandari huru! kilichotokea ni wao kupokea bidhaa na ushuru utokanao halafu bidhaa zinaingia bara kwa jina la Muungano. Hii ikiachiwa maana yake kila mtu atapitishia bidhaa znz na kulipa kidogo halafu soko ni la muungano. Ndiyo maana TRA wakasema bidhaa ikitoka znz itozwe ushuru.
Bidhaa inayoingia Namanga haitozwi ushuru Dar es Salaam unajua hilo.
Hakuna malalamiko, anayeona anatozwa ushuru mara mbili ana hiari ya kuuza bidhaa zake znz, Kenya au Uganda. Naunga mkono SMZ kwa kupitia bandari na vyombo vya biashara na kodi watoze bidhaa za kutoka bara ushuru ili wapate mapato. Vinginevyo tuwe na chombo kimoja.

Tuanze na Umeme Zanzibar wananunua umeme mara mbili ya bei uuzwao T.bara fuatilia utajua hilo.

Unajua kua TRA wanaenda na boti ya mwanzo zanzibar nakukusanya kodi na jioni hurudi na boti ya mwisho wakiwa na sanduku la pesa za ushuru wakiskotiwa na ulinzi mkali, sasa kuna ubaya gani zanzibar wakitozwa ushuru mara moja wakati pesa haibakii znz? Hii ni mbinu za kuiuwa bandari ya Znz na tayari wamefanikiwa.

Na kuhusu pesa wanazopewa Zanzibar unapeswa kujua kua hawakaiwi bure,zanzibar wanashea 12% ndani ya bank kuu,na pia munakusanya ushuru,sasa kuwalipa wanajeshi wenu kunashida gani hasa ukizingatia kua kua wanajeshi wote wazanzibar ni kutoka bra idadi yao inashinda idadi ya wananchi wa visiwani, sasa si mumejipatia ajira wenyewe tu na pia munalinda koloni lenu.
 
Tuanze na Umeme Zanzibar wananunua umeme mara mbili ya bei uuzwao T.bara fuatilia utajua hilo.

Unajua kua TRA wanaenda na boti ya mwanzo zanzibar nakukusanya kodi na jioni hurudi na boti ya mwisho wakiwa na sanduku la pesa za ushuru wakiskotiwa na ulinzi mkali, sasa kuna ubaya gani zanzibar wakitozwa ushuru mara moja wakati pesa haibakii znz? Hii ni mbinu za kuiuwa bandari ya Znz na tayari wamefanikiwa.

Na kuhusu pesa wanazopewa Zanzibar unapeswa kujua kua hawakaiwi bure,zanzibar wanashea 12% ndani ya bank kuu,na pia munakusanya ushuru,sasa kuwalipa wanajeshi wenu kunashida gani hasa ukizingatia kua kua wanajeshi wote wazanzibar ni kutoka bra idadi yao inashinda idadi ya wananchi wa visiwani, sasa si mumejipatia ajira wenyewe tu na pia munalinda koloni lenu.
kwa nini benki kuu haikuwekwa zanzibar? hii ni longterm plan amkeni
 
i hasa ukizingatia kua kua wanajeshi wote wazanzibar ni kutoka bra idadi yao inashinda idadi ya wananchi wa visiwani, sasa si mumejipatia ajira wenyewe tu na pia munalinda koloni lenu.

wakati mwingine hata kujibu mtu unajisikia kizunguzungu.
 
wakati mwingine hata kujibu mtu unajisikia kizunguzungu.

Nikweli swali likiwa gumu nawe unaweza anguka hasa badala ya kuzunguzungu,lakini nitakufafanulia labda utafahamu na kujibu.

Mishahara inayolipwa wanajeshi zanzibar ni kweli inatoka bara lakini hao wanajeshi walioko znz ni watu wabara pia. sasa munasingizia kua munabeba mzigo wakati mzigo huo ni kuwapatia ajira wenzenu na pia kuimarisha ukoloni si jengine.

Nakazi yao kule husubiri uchaguzi waanze kubaka ndugu zetu na kuwaibia.

wakati huo huo pesa hiyo huhesabiwa kua ni fungu lililopewa znz wakati waliozipata si wazanzibari.
 
Tunataka zanzabr huru,ambayo kama nchi nyengine zilivyokuwa huru,tena kimataifa. sio kitaifa kama hivi sasa.
 
Tuanze na Umeme Zanzibar wananunua umeme mara mbili ya bei uuzwao T.bara fuatilia utajua hilo.

Unajua kua TRA wanaenda na boti ya mwanzo zanzibar nakukusanya kodi na jioni hurudi na boti ya mwisho wakiwa na sanduku la pesa za ushuru wakiskotiwa na ulinzi mkali, sasa kuna ubaya gani zanzibar wakitozwa ushuru mara moja wakati pesa haibakii znz? Hii ni mbinu za kuiuwa bandari ya Znz na tayari wamefanikiwa.

Na kuhusu pesa wanazopewa Zanzibar unapeswa kujua kua hawakaiwi bure,zanzibar wanashea 12% ndani ya bank kuu,na pia munakusanya ushuru,sasa kuwalipa wanajeshi wenu kunashida gani hasa ukizingatia kua kua wanajeshi wote wazanzibar ni kutoka bra idadi yao inashinda idadi ya wananchi wa visiwani, sasa si mumejipatia ajira wenyewe tu na pia munalinda koloni lenu.


Hakika ipo kazi. Hayo uliyosema hakuna hata moja unalolijua mwenyewe, ni hadithi za vijiweni. Ndiyo maana siku zote huwa nasema wenzetu wznz wanaimba nyimbo wasizojua maana yake. nimeanza kuona kizungu zungu, uwezo wa kujibu hoja za maskani sina, Dah! kazi ipo.
 
Nguruvi3 said:
Hakika ipo kazi. Hayo uliyosema hakuna hata moja unalolijua mwenyewe, ni hadithi za vijiweni. Ndiyo maana siku zote huwa nasema wenzetu wznz wanaimba nyimbo wasizojua maana yake. nimeanza kuona kizungu zungu, uwezo wa kujibu hoja za maskani sina, Dah! kazi ipo.

Nguruvi3,

..nakubaliana na wewe kwamba wenzetu hawa ni vigeugeu sana.

..niliwahi kuweka post hapa nikimnukuu mwanasheria mkuu wa ZNZ akieleza kwamba tangu 66 mpaka 2001 Zanzibar walikuwa na benki kuu yao wenyewe, PBZ. pia kabla ya mwaka 1996[tra ilipoundwa] walikuwa wanakusanya mapato yao na kuyatumia wanavyojua wenyewe. pia leo hii kuna chombo kinaitwa Zanzibar Revenue Board, kinachoshughulika na kodi za ndani za Zanzibar.

..pamoja na ukweli huo bado wa-ZNZ wanadai Tanganyika ndiyo imeangusha uchumi wao,na zaidi tunawabana ktk kufanya maamuzi ya kustawisha uchumi wao.

..sasa hivi kuna madai kwamba wa-ZNZ wanataka wapewe 10% ya mgao wa mapato ya serikali ya muungano. hiyo ni kutoka ile 4.5% wanayopata sasa hivi. juu ya hiyo kuna grants kama za kutoilipa Tanesco, etc etc.

..binafsi sina uhakika kama tukiufumua muungano huu, tunaweza kupata kitu tofauti sana na hali tuliyonayo sasa hivi. kwa mfano: serikali 3 zitawaongezea nini wa-Zanzibar juu ya hicho walichonacho sasa hivi?

.
 
Hakika ipo kazi. Hayo uliyosema hakuna hata moja unalolijua mwenyewe, ni hadithi za vijiweni. Ndiyo maana siku zote huwa nasema wenzetu wznz wanaimba nyimbo wasizojua maana yake. nimeanza kuona kizungu zungu, uwezo wa kujibu hoja za maskani sina, Dah! kazi ipo.

Toa hiyo bei unayoijua wewe...Zanzibar wanalipa umeme kiasi gani? na Tanganyika wanalipa kiasi gani ?
 
Back
Top Bottom