WAIKORU
JF-Expert Member
- Dec 9, 2015
- 1,587
- 2,444
sasa kama sio September, kwa nn walituhadaa? na yule wa kilimo alisema ""wiki ijayo""...kumbe ni swaga tuTuwe wapole watahamia tu, ila sio sep
sasa kama sio September, kwa nn walituhadaa? na yule wa kilimo alisema ""wiki ijayo""...kumbe ni swaga tuTuwe wapole watahamia tu, ila sio sep
Me naona hii tenda wapewe clouds kuhamasisha, wanaweza kufanikiwa.Wanatamani boss wao asahau hii issue ya twe nzetu Dom.
mkuu, lazima uelewe kuwa hii ni awamu ya matamko matamu matamu kama maziwa na asalisasa kama sio September, kwa nn walituhadaa? na yule wa kilimo alisema ""wiki ijayo""...kumbe ni swaga tu
Ila utekelezaji sufuri .......viongozi wanafanya kazi kwa woga...hata wale wenye taaluma yao, wamekubali kufikiri kwa mwendokasi.....ni aibu kubwa sana....mkuu, lazima uelewe kuwa hii ni awamu ya matamko matamu matamu kama maziwa na asali
Kwani hukusikia lile tamko la RC lililositishwa uhamiaji wa wizara dom mpaka ile timu iliyoteuliwa na PM imalize kazi?by the way PM ameshasema by sept 1 atakuwepo dom na wizara zilizopo katika ofisi yakeElewa mantiki. Waziri mkuu alisema anahamia septemba. Kuna wizara ikiwemo ya kilimo na mifugo ilisema inahamia "wiki ijayo". Sasa wiki ijayo ya wiki ile imeshapita, ndio mdau anauliza kama hizo wizara za "wiki ijayo" zimeshahamia...
Ok, asante kwa taarifa. Hiyo inapigia msitari kwamba kuna mawaziri walikurupuka kuamrisha wizara zao zihamie Dodoma ili "wampiku" waziri mkuu.Kwani hukusikia lile tamko la RC lililositishwa uhamiaji wa wizara dom mpaka ile timu iliyoteuliwa na PM imalize kazi?by the way PM ameshasema by sept 1 atakuwepo dom na wizara zilizopo katika ofisi yake