mtakumbuka kuwa wiki chache zilizopita mawaziri Wa wizara mbalimbali walionekana kuitikia kwa moyo mweupe suala la kuhamia dodoma kama lilivyokuwa limetolewa na mh Raid,
kwa wenye taarifa ya kinachoendelea katika vuguvugu la kuhamia Dodoma (twe zetu Dom) kwa sasa, mtujuze ni wizara ngapi kati ya zile zilizotangaza kuanza kuhamia na kuendesha shughuli zake huko na tayari zimefanya hivyo?
HAPA KASI TU
kwa wenye taarifa ya kinachoendelea katika vuguvugu la kuhamia Dodoma (twe zetu Dom) kwa sasa, mtujuze ni wizara ngapi kati ya zile zilizotangaza kuanza kuhamia na kuendesha shughuli zake huko na tayari zimefanya hivyo?
HAPA KASI TU