The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
Mjukuu yupi? si unajua nina foleni ya jukuuz? afu hebu kaangalie jamaa wa kupakata bata kakugaragaza kule.......
Habari ya asubuhi babu
Mjukuu yupi? si unajua nina foleni ya jukuuz? afu hebu kaangalie jamaa wa kupakata bata kakugaragaza kule.......
Habari ya asubuhi babu
hauoni hapo kuwa tayari umeishaanza kuwa na wivu kwa katavi
wivu=kero.
Wivu ni muhimu
Wivu ni kero
Wivu ni sumu mbaya
Sio mimi but according to JF members
Dah!!! Kumbe mkuu na wewe una wivu
Sio hivyo vyote ila unaweza kua chochote kati ya hivyo!
Aisee dogo ile projekti mbona haijatusababishia sababu?
.....wivu anao, angalia avatar yake
.....wivu anao, angalia avatar yake
aaaaa nooooo mi nimemuelewesha tuu kwa kutumia jina lake anifaham ni vipi wivu ukizidi... khaa kaka mbona wataka nichongea wewe mi sichukui mali za watu kama kina michelle..
Ha ha ha habari ya asubuhi mama mzima wewe sijui kwanini nakumiss vile
Ha ha ha ha ha
wivu=kero.
wivu=kero.
kakudanganya nani mwenzangu?huko ni kutokujiamini na wala hakuna kingine