MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,563
- Thread starter
- #41
na ukidatishwa mara moja kwa miezi 2 nayo utaita kudatisha?
HApana dada nazungumziwa kudatishwa mara zote. Maana kuna wengine wanajisifia kuwa wanawezadatisgha hadi mtu akabadili lugha maji akaita mma sasa ndo nawaza hapa kuwa kama nina mtu anayenidatisha kihiiivyo (pamoja na malavidavi mengine) siwezitoka nje but nikitoka basi naye ahesabiwe kuwa kashindwa kunitunza it has to be his fault pia si kila siku kina dada tu!!