Ni wakati sasa wa kufanyia close monitoring muziki wa singeli

Capsicum

Member
Jul 20, 2018
24
30
Huu mziki kiukweli unatakiwa kuangaliwa kwa jicho la pekee kwani unaenda kuharibu maadili/ utamaduni wetu. Hebu cheki haya mashairi ya wimbo wa Snura akimshirikisha MSAGA SUMU .

Msaga sumu: Naomba uniruhusu kupita snura usinibanie mie,
naomba uniruhusu kupita snura usinikazie miee,
niruhusu niingize japo kichwa ndani kwako nichungulie.

Snura : Mimi nina VYUMBA VIWILI unaomba chumba gani (msaga sumu ananyoosha kidole kuashiria anataka CHUMBA NO.1),
Chenye zulia la manyoya au kile cha uwani (msaga sumu anadakia kwa maneno "HUKOHUKO" yaani this time anataka cha UWANI)

Kazi kwenu BASATA.

 
Brainless artists with no content rather than insults na fujo ndio wamejaa huko.

Toka Hayati aondoke sijaona Basata wakifungia wasanii (Hypocrisy at its best)

Mtu anaimba (Leo nakutotoooooo......), Nina hamu ya kutotooo....... Hata hiyo ngoma sitoshangaa wasipochukua hatua yeyote
 
Brainless artists with no content rather than insults na fujo ndio wamejaa huko.

Toka Hayati aondoke sijaona Basata wakifungia wasanii (Hypocrisy at its best)

Mtu anaimba (Leo nakutotoooooo......), Nina hamu ya kutotooo....... Hata hiyo ngoma sitoshangaa wasipochukua hatua yeyote
Basata hawa waliofungia na kufungulia wimbo wa rayvanny usitarajie watachukua hatua yeyote... we are doomed as a country
 
GENTAMYCINE niliwahi Kulalamika sana hapa ( humu ) kuhusu Nyimbo nyingi za 'Singeli' na hata nyinginezo ( hasa za Bongo Fleva ) zisizo na 'Maadili' kwa Jamii na kuwataka akina BASATA na TCRA mpaka Serikali kuwa nazo makini nilichoambulia ni Dhihaka na Matusi.

Taratibu tu nyote mtaanza Kunielewa.
 
Brainless artists with no content rather than insults na fujo ndio wamejaa huko.

Toka Hayati aondoke sijaona Basata wakifungia wasanii (Hypocrisy at its best)....
Paragraph yako ya kwanza imeelezea sifa za wasanii wetu wengi wanaofanya kuanzia mziki na filamu... kuna tatizo kubwa sana ambali limepuuzwa kwa muda mrefu..
 
Duu kwa mashairi hayo ndo kutapelekea upotofu wa maadili uzidi kuongezeka. Nawaza mwananymala na wale wanawake wa ma shughuli
 
Hao BASATA wapo kwaajiri ya kuzifungia nyimbo zinazo fichua/ kukosoa serikali tu
 
Wazaramo ni kabila la hovyo hovyo! Mara sijui kusasambua eti mwanamke mpaka anabaki mtupu wao wanashangilia tu! Wakati nikiwa mtoto nimeingia Dar kwa mara ya kwanza nikawafuata vijana wa pale mtaani kwenda kushuhudia msasambuaji, tukajionea mbususu imesukwa mabutu!
 
Mnaosikiliza mziki wa namna hiyo nawapa kongole, sijawahi hata siku moja hata kufikiria huo mziki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom