Kyambamasimbi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 570
- 1,229
Habari wanaJF.
Ukweli ni kwamba vyuo vikuuu na vyuo vingine vimekuwa vikitambua na kuwatunuku PhD katika kutoa huduma fulani katika jamii.
Lakini Kuna nguli wa Utangazaji na Mwana Ethnomusicologist Yaani mtaalam wa sayansi ya Muziki na amekuwa akichambua historia na general structure ya Muziki.
Ningekuwa mm ndio serikali ningemtumia kufundisha Sanaa katika vyuo vyetu. Serikali mtumieni Manju wa Muziki Masoud Masoud kukuza Sanaa ya Muziki na mtambue mchango wake........
Ukweli ni kwamba vyuo vikuuu na vyuo vingine vimekuwa vikitambua na kuwatunuku PhD katika kutoa huduma fulani katika jamii.
Lakini Kuna nguli wa Utangazaji na Mwana Ethnomusicologist Yaani mtaalam wa sayansi ya Muziki na amekuwa akichambua historia na general structure ya Muziki.
Ningekuwa mm ndio serikali ningemtumia kufundisha Sanaa katika vyuo vyetu. Serikali mtumieni Manju wa Muziki Masoud Masoud kukuza Sanaa ya Muziki na mtambue mchango wake........