Ni wajinga pekee ndiyo watazisifia drama za Makonda

Kiboko ya Jiwe

JF-Expert Member
Apr 7, 2020
12,702
36,143
Narudia tena na tena kusema " Ni wajinga pekee ndio watazisifia drama za Makonda".

Mtu anatumia billions of money kuzunguka Tanzania ilhali hana uwezo kimamlaka wa kutoa hata tone la maji kwa wananchi halafu watu wanamshangilia.

Ujinga huu huwezi kuuona nchi yoyote isupokuwa Tanzania, nchi yenye sifa ya kuwa na watu wasiojua wanalolitaka.
 
Narudia tena na tena kusema " Ni wajinga pekee ndio watazisifia drama za Makonda".

Mtu anatumia billions of money kuzunguka Tanzania ilhali hana uwezo kimamlaka wa kutoa hata tone la maji kwa wananchi halafu watu wanamshangilia.

Ujinga huu huwezi kuuona nchi yoyote isupokuwa Tanzania, nchi yenye sifa ya kuwa na watu wasiojua wanalolitaka.
Saa nane hii? Usiku huu? Nasubiri wachawi waje kunichukua nikawalimie kitambi kipungue
 
Narudia tena na tena kusema " Ni wajinga pekee ndio watazisifia drama za Makonda".

Mtu anatumia billions of money kuzunguka Tanzania ilhali hana uwezo kimamlaka wa kutoa hata tone la maji kwa wananchi halafu watu wanamshangilia.

Ujinga huu huwezi kuuona nchi yoyote isupokuwa Tanzania, nchi yenye sifa ya kuwa na watu wasiojua wanalolitaka.
Makonda ndiyo mdomo na macho ya chama ni halali kwake kupita mitaani kuona ilani inatekelezwa?, na wananchi wanauonaje utekelezaji wa serekali yao,ikiwamo kuhoji pale palipokwama alimradi watanzania kero zao zinaondoka,kwa utaratibu wa Makonda The failure ministries must cry-out .
 
Narudia tena na tena kusema " Ni wajinga pekee ndio watazisifia drama za Makonda".

Mtu anatumia billions of money kuzunguka Tanzania ilhali hana uwezo kimamlaka wa kutoa hata tone la maji kwa wananchi halafu watu wanamshangilia.

Ujinga huu huwezi kuuona nchi yoyote isupokuwa Tanzania, nchi yenye sifa ya kuwa na watu wasiojua wanalolitaka.
Wewe usiye mjinga nini kinakuwasha usiku huu kumfatilia Makonda?
 
Narudia tena na tena kusema " Ni wajinga pekee ndio watazisifia drama za Makonda".

Mtu anatumia billions of money kuzunguka Tanzania ilhali hana uwezo kimamlaka wa kutoa hata tone la maji kwa wananchi halafu watu wanamshangilia.

Ujinga huu huwezi kuuona nchi yoyote isupokuwa Tanzania, nchi yenye sifa ya kuwa na watu wasiojua wanalolitaka.
Unakijua chama kinacho simamia serikali ?hivi msimamizi na anaye simamiwa nani mwenye mamlaka?unafikiri mawaziri ni wajinga kabisaa kumsikiliza makonda na wanapenda kuhojiwa na mtu asiye na mamlaka?wewe ndio unazo akili kuliko mawaziri wote wanaosimama na kujibu maswali na hoja za ndg.Makonda? Ukimaliza kujibu hayo jifunze kunyamaza ujuaji usio na faida haukufikishi popote.
 
Narudia tena na tena kusema " Ni wajinga pekee ndio watazisifia drama za Makonda".

Mtu anatumia billions of money kuzunguka Tanzania ilhali hana uwezo kimamlaka wa kutoa hata tone la maji kwa wananchi halafu watu wanamshangilia.

Ujinga huu huwezi kuuona nchi yoyote isupokuwa Tanzania, nchi yenye sifa ya kuwa na watu wasiojua wanalolitaka.
waerevu wamezidiwa mambo mengi sana na huyu mjamaa,
na wanaumia kweli kweli 🤣kijana akichanja mbuga,

na kwa ubunifu wa kiwango cha juu sana zaid yao, kijana amekua
akitatua kero za wananchi, akiagiza utekelezaji na ukamilishwaji wa miradi iliyosimama, akihoji na kuonyesha njia ya kutatua changamoto mbalimbali za kisekta maeneo mbalimbali nchini na hili linawakera zaid waerevu dah 🐒

kama una gubu huwezi mpenda mtu wa aina hii hata kidogo 🤓
 
Narudia tena na tena kusema " Ni wajinga pekee ndio watazisifia drama za Makonda".

Mtu anatumia billions of money kuzunguka Tanzania ilhali hana uwezo kimamlaka wa kutoa hata tone la maji kwa wananchi halafu watu wanamshangilia.

Ujinga huu huwezi kuuona nchi yoyote isupokuwa Tanzania, nchi yenye sifa ya kuwa na watu wasiojua wanalolitaka.
Siku zote mjinga yeyote hucheza na Wajinga wenzake

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Narudia tena na tena kusema " Ni wajinga pekee ndio watazisifia drama za Makonda".

Mtu anatumia billions of money kuzunguka Tanzania ilhali hana uwezo kimamlaka wa kutoa hata tone la maji kwa wananchi halafu watu wanamshangilia.

Ujinga huu huwezi kuuona nchi yoyote isupokuwa Tanzania, nchi yenye sifa ya kuwa na watu wasiojua wanalolitaka.
Sawa sawa sisi tulio wengi ni wapumbavu sana!! Nyie wawili watatu ndio wenye akili!!
 
Unakijua chama kinacho simamia serikali ?hivi msimamizi na anaye simamiwa nani mwenye mamlaka?unafikiri mawaziri na wajinga kabisaa kumsikiliza makonda na wanapenda kuhojiwa na mtu asiye na mamlaka?wewe ndio unazo akili kuliko mawaziri wote wanaosimama na kujibu maswali na hoja za ndg.Makonda?
Kalewa Konyagi huyu mpumbavu!!
 
ni nchi pekee dimondi ana mshauri mtu aliyefunga ndoa na kuacha bwana manara
1705763878793.jpg
 
Back
Top Bottom