Magufuli 05
JF-Expert Member
- May 7, 2023
- 947
- 1,990
Kwanza nchi zote Duniani zimejengwa na watu imara yaani strong men. Hakuna hata nchi moja iliyojengwa na watu dhaifu. Makonda wewe ni mtu imara, kila nikikuangalia na kukusikiliza moyo wangu unaniambia kabisa kwamba wewe ni mtu sahihi kwasasa kuipeleka kasi nchi yetu na kwa wakati huu ambao nchi ipo kwenye ombwe la uongozi.
Nasema ipo kwenye ombwe kwasababu kwasasa kuna kikundi tu ambacho kimejigeuza kuwa command center. Chama kimetekwa na kikundi, Dola imetekwa na kikundi. Taasisi ya Urais si imara tena kama ilivyokuwa awamu ya tano.
Ni mjinga yupi anabisha kwamba mataifa yote yamejengwa na watu imara? China imejengwa na mao na sasa Xi jinping.
Russia imejengwa na Kerensky, Lenin na sasa Putin. Cuba imejengwa na Fidel Castro. German imejengwa na Otto von Bismarck.
Uingereza ilijengwa kipindi cha Tudor.
Katika historia ya Dunia ni nadra Sana kupata mwanamke imara katika masuala ya uongozi. Dunia ilibahatisha kumpata Margaret thatcher na Indira Gandhi ambao walifanya kazi nzuri kweli.
Sisi Tanzania kwasasa tuna kiongozi dhaifu mno ambaye kamwe hawezi kuipeleka nchi kwa kasi badala yake itarudi nyuma Sana. Wajinga na matapeli ndiyo wangependa aendelee. Lakini kamwe mtanzania mzalendo hawezi kupenda kiongozi huyu aendelee. Ni tamaa tu ndiyo zitamfanya aendelee lakini kwenye mioyo ya wengi hayumo.
Makonda, najua una maadui wengi hasa kwa msimamo wako wa kuwa mfuasi wa Rais Magufuli na hiki ndiyo kimewafanya wakutoe kwenye uenezi kwenda kuwa RC.
Jiamini kaka. Nikupongeze kwa msimamo wako na ndivyo wanaume hupaswa kuwa. Makonda, kwenye chama hicho ulichopo sasa hivi hutaweza kaka, Mimi nakusihi ikikupendeza 2025 chukua fomu kupitia chama kingine tu waachie chama chakavu hicho ambacho kimeacha misingi ya kibinadamu, kizalendo na ya baba wa taifa na sasa ni chama cha matapeli tu.
Angalia makonda, naandika Uzi huu sasa hivi nchi nzima ipo gizani toka saa nane usiku na hatujui Shida ni Nini. Je tutateseka Hadi lini? Nani atatukomboa sisi Watanzania kama siyo wewe na akina bashiru, polepole, kabudi na wazalendo wengine?
Jiamini makonda kwamba mabadiliko yanaweza kupatikana hata nje ya chama chakavu. Wengi ni waoga kutoka humo.
Hebu Angalia Senegal,kijana mwenzio kashinda. Makonda plz ondoka chama hicho. Watu imara hukomboa mataifa Yao na Dola zao.
Mkwawa alikuwa imara
Abushiri alikuwa imara
Bwana heri alikuwa imara
Sekou toure alikuwa imara.
Mansa alikuwa imara
Isike alikuwa imara
Nyungu ya mawe wa ukimbu alikuwa imara.
Nyerere alikuwa imara.
Samora alikuwa imara
Lumumba alikuwa imara
Kabaka alikuwa imara
Tanzania yetu inahitaji mtu imara huyu wa sasa hapana.
Huwa najisikia vibaya ninapotembelea nchi za wenzetu namna wamezijenga halafu nikiangalia Tanzania naona kama tumerogwa kabisa. Nenda Qatar kaone, nenda Dubai kaone,nenda hata saudi Arabia. Masikini utasema tu nchi yetu imerogwa.
Makonda nenda, makonda okoa Tanzania, wazalendo wote kataeni ujinga wa mama mitano Tena. Iangalieni Tanzania na vilivyomo.
Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿
Nasema ipo kwenye ombwe kwasababu kwasasa kuna kikundi tu ambacho kimejigeuza kuwa command center. Chama kimetekwa na kikundi, Dola imetekwa na kikundi. Taasisi ya Urais si imara tena kama ilivyokuwa awamu ya tano.
Ni mjinga yupi anabisha kwamba mataifa yote yamejengwa na watu imara? China imejengwa na mao na sasa Xi jinping.
Russia imejengwa na Kerensky, Lenin na sasa Putin. Cuba imejengwa na Fidel Castro. German imejengwa na Otto von Bismarck.
Uingereza ilijengwa kipindi cha Tudor.
Katika historia ya Dunia ni nadra Sana kupata mwanamke imara katika masuala ya uongozi. Dunia ilibahatisha kumpata Margaret thatcher na Indira Gandhi ambao walifanya kazi nzuri kweli.
Sisi Tanzania kwasasa tuna kiongozi dhaifu mno ambaye kamwe hawezi kuipeleka nchi kwa kasi badala yake itarudi nyuma Sana. Wajinga na matapeli ndiyo wangependa aendelee. Lakini kamwe mtanzania mzalendo hawezi kupenda kiongozi huyu aendelee. Ni tamaa tu ndiyo zitamfanya aendelee lakini kwenye mioyo ya wengi hayumo.
Makonda, najua una maadui wengi hasa kwa msimamo wako wa kuwa mfuasi wa Rais Magufuli na hiki ndiyo kimewafanya wakutoe kwenye uenezi kwenda kuwa RC.
Jiamini kaka. Nikupongeze kwa msimamo wako na ndivyo wanaume hupaswa kuwa. Makonda, kwenye chama hicho ulichopo sasa hivi hutaweza kaka, Mimi nakusihi ikikupendeza 2025 chukua fomu kupitia chama kingine tu waachie chama chakavu hicho ambacho kimeacha misingi ya kibinadamu, kizalendo na ya baba wa taifa na sasa ni chama cha matapeli tu.
Angalia makonda, naandika Uzi huu sasa hivi nchi nzima ipo gizani toka saa nane usiku na hatujui Shida ni Nini. Je tutateseka Hadi lini? Nani atatukomboa sisi Watanzania kama siyo wewe na akina bashiru, polepole, kabudi na wazalendo wengine?
Jiamini makonda kwamba mabadiliko yanaweza kupatikana hata nje ya chama chakavu. Wengi ni waoga kutoka humo.
Hebu Angalia Senegal,kijana mwenzio kashinda. Makonda plz ondoka chama hicho. Watu imara hukomboa mataifa Yao na Dola zao.
Mkwawa alikuwa imara
Abushiri alikuwa imara
Bwana heri alikuwa imara
Sekou toure alikuwa imara.
Mansa alikuwa imara
Isike alikuwa imara
Nyungu ya mawe wa ukimbu alikuwa imara.
Nyerere alikuwa imara.
Samora alikuwa imara
Lumumba alikuwa imara
Kabaka alikuwa imara
Tanzania yetu inahitaji mtu imara huyu wa sasa hapana.
Huwa najisikia vibaya ninapotembelea nchi za wenzetu namna wamezijenga halafu nikiangalia Tanzania naona kama tumerogwa kabisa. Nenda Qatar kaone, nenda Dubai kaone,nenda hata saudi Arabia. Masikini utasema tu nchi yetu imerogwa.
Makonda nenda, makonda okoa Tanzania, wazalendo wote kataeni ujinga wa mama mitano Tena. Iangalieni Tanzania na vilivyomo.
Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿