Shapu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2008
- 2,111
- 790
Nadhani hili litukumbushe kwamba Mungu ha-operate the way we want or think. Mungu anajua why iwe the way ilivyo. So ni kumwachia yeye (Mungu) afanye kwa kadiri ya mapenzi yake. Kwa nini hujiulizi Mungu alimfanya huyo mtoto apate maambukizi ilhali si yeye alikuwa na makosa pengine wazazi wake? so huwezi muuliza kwa nini asimpe huo uponyaji?