not by nature
Senior Member
- Aug 4, 2016
- 110
- 57
umenichekesha sanaNiliuliza maana ya neno usizini kwenye amri za MUNGU ni nini, nikaambiwa ni kumpiga MTU makofi.
umenichekesha sanaNiliuliza maana ya neno usizini kwenye amri za MUNGU ni nini, nikaambiwa ni kumpiga MTU makofi.
Kweli hiyo ni dawa ya tumboSisimizi ni dawa ya tumbo... Basi toka siku hiyo nikawa nafakamia viporo vilivyo jaa hawa wadudu.
Kumbe ilikua mbinu ya bimkubwa ya kuokoa tusimwage msosi.
Hahaha...zote hizo pia tuliambiwa, kweli wazazi wa zamani walijua malezi.Mvua ikinyesha na jua linawaka, simba anazaa, tembo anakufa.
Kama kuna radi, ukivaa nguo nyekundu inakupiga unakufa.
Usikojoe nje,
Ukikojoa tu ziwa la mama ako linavimba. (zaidi ilikua kwa wanawake and yec walitufunza kua na stara)
Yan hua nakisikitikia kizazi cha sasa hivi, hata hadithi hawasimuliwi,Hahaha...zote hizo pia tuliambiwa, kweli wazazi wa zamani walijua malezi.
Kuna kitoto fulani juzi nilikiambia hivyo si kikaniumbua kuwa kinajua mtoto anavyopatikana... Watoto wa siku hizi balaaHiyo ya watoto wananunuliwa hospitali wengi sana tumedanganywaa.....