nimbagonza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 1,023
- 716
Kwamba waisilamu hawanywi pombe wakigusa tu wanakufa
mie niliambiwa amaanguliwa juu ya mtiMtoto ananunuliwa
Kweli.niliahidiwa ntanunuliwa ndege
Mababu zetu, Wazee wetu wana busara sana, uongo wao ni kwa ajili ya maadili mema.Niliambiwa usikubali mwanaume akufunue utachapwa kiboko na Mungu, nikawa makini kweli hata tukicheza kombolela nikawa nacheza kwa wasiwasi kweli ,, ila ilinisaidia kweli maana nimekuja kufunuliwa na mwanaume nikiwa chuo, thanks mama vitisho vyako vimenisaidia sana huenda nisingemaliza shule ,
Siungesubir mpaka uolewe ndo ufunuliweNiliambiwa usikubali mwanaume akufunue utachapwa kiboko na Mungu, nikawa makini kweli hata tukicheza kombolela nikawa nacheza kwa wasiwasi kweli ,, ila ilinisaidia kweli maana nimekuja kufunuliwa na mwanaume nikiwa chuo, thanks mama vitisho vyako vimenisaidia sana huenda nisingemaliza shule ,
Hata sasa hivi watu wanatumia hiyo njia ili kuomba Muhindi.Baba yangu alikuwa Kiboko.... Ukiwa na Muhindi wako mnakula anakuambia umpe akutengenezee Njia ya Kwenda Kijijini maana tulikuwa hatupajui basi unaahikisha anatengeneza Njia muhindi Mzima..
AlikuwezaMimi nakumbuka nlikuwa na rafiki yangu msomali nkamuuliza nywele zako huwa unafanyann mpaka zinakuwa nzur hivyo?....jamaa akanijibu huwa na sugua na kijiwe kwa maji ya moto ...basi nilikuwa nikiingia kuoga sipoozi maji nasugua nywele kwelikweli lakin wap....nikikumbuka huwa nacheka sana..
hahahahahahah kweli umenkumbushaNdege ikigusa nyasi inalipuka
umenikumbusha sie tulikua na rafiki zetu wakatoliki, wakatuambia ukienda kuchukua ule mkate mkononi na wewe sio mkatoliki hapo hapo linageuka bwawa la maji linakuzunguka."Kwa wale Wakatoliki" ukienda kushiriki mkate wa Bwana kama una dhambi (huja ungama) utawaka Moto mbele ya Altare.
Baada ya kuvunja ungo mtoto wa kike, usikae au kumshika mwananume yoyote utapata mimba.
Wengi tumefuga manyoya ya Tausi katikati ya daftari na kuyalisha mabaki ya kuchonga Penseli, tukiamini yatazaliana.