Lazima itakua Dar hii,Haya maisha acha tu Kuna njemba inalala na binti zake wawili na vijana wake wawili wa secondary chumba kimoja!!
Yote ni sababu za umaskini
Mwanaume gn tena huyo alikuudhi mamaaAsante beshte...ni ule uzi wa selfika nilisema wanaume wengine wangese my dia... 😆 😆 ndicho walichonibania nacho..
Yani ni story ndefu hahahaaaMwanaume gn tena huyo alikuudhi mamaa
Achana nae huyo kenge majiYani ni story ndefu hahahaaa
Akizaliwa tu anatakiwa kulała peke yake ukimzoesha kulala na mtu hatakubali kulala peke yake mpk akifikia miaka 5.Wakuu..mtoto miaka 6 anaenda 7 hivi ni haki kulala na wazazi mama yake anangangana kuwa ni kawaida.
Ana chumba chake kizuri na cha gharama kwel ila toto linataka lala na mama.
Mnaonaje wakuu hili swala.
Kivumbii
Hata miaka 5 bado mdogo sana kulala peke yake.Akizaliwa tu anatakiwa kulała peke yake ukimzoesha kulala na mtu hatakubali kulala peke yake mpk akifikia miaka 5.
ebooHata miaka 5 bado mdogo sana kulala peke yake.
90% ya watoto wa kiafrika usiku wakilala wanaweweseka sana usingizi,,
Ulozi na wanga ni mwingi sana,,
Ni wiki tu baada ya hapa baba anahitaji kulala na mwenza wake waendeleze gegedoWakuu..mtoto miaka 6 anaenda 7 hivi ni haki kulala na wazazi mama yake anangangana kuwa ni kawaida.
Ana chumba chake kizuri na cha gharama kwel ila toto linataka lala na mama.
Mnaonaje wakuu hili swala.
Kivumbii
Mkuu umeshawahi kumwona mtoto akiweweseka usiku usingizini?eboo
ndo alale mwenyewe sasa ajue namna ya kupambana na wanga
kama ni maombi ajue,au kuja kutoa taarifa asubuhi pakikucha asaidiwe na wazazi
Ni kweli hayo? Pia acheni kunizushia. Mi sio yule Komando.Watu walilala na wazazi wao chumba kimoja mpk wanapata akili...na hawajawahi ona wazazi wao wakifanya....
Ila ni zamani sio sasa...kwa sasa subiri balaa
Sio kweli, huo ni ugonjwa. Nimeshawahi muona jamaa akiwa mtu mzima anafanya hivyo. Hiyo si kwa watoto wote.Mkuu umeshawahi kumwona mtoto akiweweseka usiku usingizini?
Mtoto anaamka na kutembea huku yupo usingizini,
Ni hatari sn mkuu.
Isambae mara ngapi???😂😂😂 mzigo upo kuanzia shuleni hadi kitaa hajapata tu watu wa kumsanuaNaona huyo mama hataki kuliwa au mlaji hana mapigo ya september 11 ambayo hata majirani hufurahia audio!.....mkuu fukuza huyo mtoto haraka kabla x yako haijasambaa mtaani!
Wangu 2.5 yrs analala chumba kimoja na dada msaidiziAkianza kupata uelewa tu, wengine hata miaka mi 2 inatosha
Mkuu hapo hapo umenikumbusha nimeshuhudia Sana hii Kwa majirani zangu kiasi kwamba mpaka naona aibu kuuliza japokuwa najua sio jambo zuri.Niliwai kwenda kwa single maza mmoja usiku wa safari,akachemsha maji akaoga mbele ya kijana wake wa miaka 7.
Kile kitu kilinichefua sana..Nilikuwa na usiku mrefu sana siku hiyo niliamsha argument kali sana usiku huo.
Kwanza yule dogo alipokuwa anakaribia pale mama yake alipokuwa anaoga nikamkalipia"TOKA",lile litoto likaangua kilio kikubwa sana.
Mama yake nae akaanza sema" huyu ni mtoto mdogo,usimkalipie hivyo".
Juzi hapa limempata jambo kuhusu huyo mtoto,akaniwasap, nikamchana na kumkumbusha upumbavu wake wa malezi mabovu juu ya mwanae.