Ni ukweli usiopingika

Si kweli... Hakuna kanuni kwenye mambo ya jinsia wala mahusiano, kila mmoja yupo peculiar, ni coincidence tu kukuta asilimia flani wanafanana lifestyle flani, lakini hiyo sio general conclusion kwa wote.
Nimesoma ulichoandika haraka nikaangalia muda uliojiunga JF. Nikakuta vina uwiano hongera mkuu..asilimia kubwa ya tuliojiunga 2016 hadi 2017 hatuwezi kuandika hivi.
 
Si kweli... Hakuna kanuni kwenye mambo ya jinsia wala mahusiano, kila mmoja yupo peculiar, ni coincidence tu kukuta asilimia flani wanafanana lifestyle flani, lakini hiyo sio general conclusion kwa wote.
Amina
 
Ivi nyie mnaojifanya hamuwez kuwa na mwanamke mmoja MNA uwezo WA kumiliki wanawake wawil una uwezo WA kuwatomba au mnaongea tu kujiridhisha na kujionesha kidume kumbe konokono huyu mmoja tu anawashinda kumridhisha afu Leo mnajifanya mmoja hawatoshi ,huwa nawaangalia na kuwadharau sana mnaojisifu au sababu ss wanawake hatuongei tunanyamaza na kuridhika na kushukuru mnajiona huwa tuko vzr ,huyo masoud anaweza kutomba mke Wake akimridhisha kabisa au anaongea tu ili aonekane kidume,unajua km umeamua kumkana mungu na kumtukuza shetan Fanya au afanye yeye na si kushawishi wengine waliotulia au kumcha mungu kwa ukwel,au wanavyowajibu wanawake wao aa Leo nimechoka kumbe alikua kwa mwingine wanajiona wanauwezo WA kuwahimili wanawake kumbe right ungejua mkeo nae anachoka anakuangalia tu na km hana mungu anakutokea nje unasaidiwa afu MTU anajilet media oooh mmoja hanitoshi muwe mnajihoj sio kukurupuka
 
Ivi nyie mnaojifanya hamuwez kuwa na mwanamke mmoja MNA uwezo WA kumiliki wanawake wawil una uwezo WA kuwatomba au mnaongea tu kujiridhisha na kujionesha kidume kumbe konokono huyu mmoja tu anawashinda kumridhisha afu Leo mnajifanya mmoja hawatoshi ,huwa nawaangalia na kuwadharau sana mnaojisifu au sababu ss wanawake hatuongei tunanyamaza na kuridhika na kushukuru mnajiona huwa tuko vzr ,huyo masoud anaweza kutomba mke Wake akimridhisha kabisa au anaongea tu ili aonekane kidume,unajua km umeamua kumkana mungu na kumtukuza shetan Fanya au afanye yeye na si kushawishi wengine waliotulia au kumcha mungu kwa ukwel,au wanavyowajibu wanawake wao aa Leo nimechoka kumbe alikua kwa mwingine wanajiona wanauwezo WA kuwahimili wanawake kumbe right ungejua mkeo nae anachoka anakuangalia tu na km hana mungu anakutokea nje unasaidiwa afu MTU anajilet media oooh mmoja hanitoshi muwe mnajihoj sio kukurupuka
Kama ww huwezi kumridhisha mkeo usifikir wote wako hivyo...
 
Ivi nyie mnaojifanya hamuwez kuwa na mwanamke mmoja MNA uwezo WA kumiliki wanawake wawil una uwezo WA kuwatomba au mnaongea tu kujiridhisha na kujionesha kidume kumbe konokono huyu mmoja tu anawashinda kumridhisha afu Leo mnajifanya mmoja hawatoshi ,huwa nawaangalia na kuwadharau sana mnaojisifu au sababu ss wanawake hatuongei tunanyamaza na kuridhika na kushukuru mnajiona huwa tuko vzr ,huyo masoud anaweza kutomba mke Wake akimridhisha kabisa au anaongea tu ili aonekane kidume,unajua km umeamua kumkana mungu na kumtukuza shetan Fanya au afanye yeye na si kushawishi wengine waliotulia au kumcha mungu kwa ukwel,au wanavyowajibu wanawake wao aa Leo nimechoka kumbe alikua kwa mwingine wanajiona wanauwezo WA kuwahimili wanawake kumbe right ungejua mkeo nae anachoka anakuangalia tu na km hana mungu anakutokea nje unasaidiwa afu MTU anajilet media oooh mmoja hanitoshi muwe mnajihoj sio kukurupuka
Oooo!!
 
na nyinyi si myaweke public

Mwanaume anaweza kuwa na kila kitu kizuri na akawa mwaminifu kwa mwanamke mmoja,wapo pia wasio na chochote kiuchumi na kimwili na wana lundo la wanawake.Yamtokayo mtu ndiyo yaliyojaa mayoni mwake.
 
UKWELI GANI ???? LABDA WEWE UNAPENDA KUTEMBEA NA WANAWAKE WENGI KAMA PIMBI NA ISITOSHE HUWAPATI LOH!!!!
Ww kama huwezi wenzio wanaweza na kama huwez basi tunajua kabisa kwamba ww ni joka la kibisa au team chaputa au @ tatzo
 
ni mjinga tu. nani amekwambia mwanaume huwa anaridhika hata na wanawake kumi? kuoa wake hata wanne haisaidii kupunguza uzinzi. nilishawahi kuwa na wapenzii wanne lakini bado nilikuwa nachepuka na wengine.
 
ni mjinga tu. nani amekwambia mwanaume huwa anaridhika hata na wanawake kumi? kuoa wake hata wanne haisaidii kupunguza uzinzi. nilishawahi kuwa na wapenzii wanne lakini bado nilikuwa nachepuka na wengine.
Ahahahaaaaaa yaani wewe uko vizuri kiafya na kiuchumi
 
Back
Top Bottom