Mkuu na wewe unakubali kuwa ngono inazeesha?
Sigara ni kweli , kwani hutumika pia kwa watu wanaotaka kupunguza uzito hasa kwa model wa kike. Inahusishwa na kupunguza appetite.
Hapana mkuu , hapo factor zinazohusika ni zingine kabisa..... Km vile njaa , ugumu wa maisha, mazingira magumu ya kazi, kutumia cosmetics product dunia, unywaji pombe uliopitiliza, utumiaji wa madawa ya kulevya, magonjwa, utoaji wa mimba , stress za maisha na mahusiano n.k!Hahahahaha lol!!!! Hakuna uchunguzi wa kisayansi kulithibitisha hili lakini nimewahi kulisikia mara nyingi hili, "Mwangalie yule binti alivyokongoroka, hatulii na mwanaume mmoja" leo yuko na huyo na kesho yuko na yule. Pamoja na kuwa hakuna uthibitisho wa kitaalamu kuhusu hili lakini inawezekana likawa na ukweli kiasi fulani.
VP kwa mwanaume au ndo effect zipo kwa wanawake tu
Jamani nikuletee mijipunda mingapi ya mahari? Hongo tu la kuendea nyumba za wageniennheee gete gete!!!
Hapana mkuu , hapo factor zinazohusika ni zingine kabisa..... Km vile njaa , ugumu wa maisha, mazingira magumu ya kazi, kutumia cosmetics product dunia, unywaji pombe uliopitiliza, utumiaji wa madawa ya kulevya, magonjwa, utoaji wa mimba , stress za maisha na mahusiano n.k!
Kama ni hivyo siyo kweli!
Mboo haiwezi kumaliza/ kuharibu utamu wa papuchi wala kumzeesha mwanamke.
Jamani nikuletee mijipunda mingapi ya mahari? Hongo tu la kuendea nyumba za wageni
siyo kuzeeka tu,hata papuchi inakuwa na sura chovu,utaelewa what i mean ukiangalia papuchi za wacheza filamu za ngono
Jamani huu ni ukweli kama mtu ataupinga ni yeye tu.
Ila wasichana wasio watulivu kwenye mahusiano yao (wanaogawa uroda non stop) huchakaa na kuzeeka mapema kuliko wale wenye kutulizana ku kujitunza.
Kazi ni kwako amua leo, kusuka ama kunyoa.
TULIZANA
Wee nani kakuambia kuwa mb..... haizeeshi. Sasa kwa taarifa yako ukiendekeza unazeeka tena unakongoroka unakuwa 26yrs kama 40. Looo. Wewe sio mzoefu inaonyesha mwanafunzi weye.
Mkuu ukizungumzia industry ya porno hiyo ni kitu tofauti kabisa na kusema mtu anafanya ngono sana.siyo kuzeeka tu,hata papuchi inakuwa na sura chovu,utaelewa what i mean ukiangalia papuchi za wacheza filamu za ngono
Mkuu ukizungumzia industry ya porno hiyo ni kitu tofauti kabisa na kusema mtu anafanya ngono sana.
Ile ni industry iliyogubikwa na mambo mengi sana yanayohusisha uharibifu wa miili ya wacheza filamu hizo, ndiyo maana asilimia kubwa ya wacheza filamu hizo huwa hawadumu muda mrefu ( wengi wanaishiaga miaka 2).
Hiyo industry achana nayo kabisa.
Ha ha haaa 'Haloo beibi'
Malizia 'nauwezaa'
Back to topic:
Kuna ukweli wa kisayansi kuwa, sperms za mwanaume zinapoingia mwilini mwa mwanamke huleta mabadiliko fulani, hivyo basi mwanamke anapopokea sperms za kila aina, kila uzito matokeo yake ni uliyotaja hapo juu.
^^
Mwisho wa kawaida ni wapi na mwanzo wa kuzidisha ni wapi? ?!!!!
punda pelekea wanyiramba huku usukumani ni mang'ombe tu...
wanaume nao watazeeka upesi ama vip?!