cutie bee
JF-Expert Member
- Oct 18, 2014
- 206
- 69
Nimefungia nayo mwaka sitaki jipya tena.
anhaa vipya bado vipo vingi wewe mbona una haraka ya kufunga mwaka acha uoga
Nimefungia nayo mwaka sitaki jipya tena.
kujikunja uso ni maumivu au utamu?
Jamani ukiendekeza kwa watu tofautitofauti inachakaa. Kuna mkaka hapa ofisini alimpata mwanamke alipoenda naye kudu, acha aje aniambie yaani dada nimekutana na full mbumbwi, yaan unaweza kuweka mikono miwili na ukawa unapiga makofi yaan akalalamika haja enjoy kitu, akiaapia kuwa hatarudia tenayule mdada. Na hii nikajua kuwa ndiyo sababu ya hawa wakaka kumpata mwanamke kwenda naye siku moja alafu ndio harudi tena anatoka mazima kama ameachiwa gerezani vile . Jamani papuchi yatunzwa watoto. haya bisheni lakini ukweli unabakia pale pale. Jitunze mwanamke. Hata kama imeumbwa kama plastic jitunze.
VP kwa mwanaume au ndo effect zipo kwa wanawake tu
Jamani ukiendekeza kwa watu tofautitofauti inachakaa. Kuna mkaka hapa ofisini alimpata mwanamke alipoenda naye kudu, acha aje aniambie yaani dada nimekutana na full mbumbwi, yaan unaweza kuweka mikono miwili na ukawa unapiga makofi yaan akalalamika haja enjoy kitu, akiaapia kuwa hatarudia tenayule mdada. Na hii nikajua kuwa ndiyo sababu ya hawa wakaka kumpata mwanamke kwenda naye siku moja alafu ndio harudi tena anatoka mazima kama ameachiwa gerezani vile . Jamani papuchi yatunzwa watoto. haya bisheni lakini ukweli unabakia pale pale. Jitunze mwanamke. Hata kama imeumbwa kama plastic jitunze.
kwa wanaume mishipa sijajua ila nahisi nanyie itatoka sugu. Kwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
mh!! Gololi 1!!!
Kutunza papuchi unamaanisha nn?
Kuihudumia au kujipa service?
Unatumia yenye SUGU?Kaka nini sasa. Siumeuliza kwa wanaume tupeni jibu nyie sasa.
Na kitu kingine kinachozeesha ni pombe...ukitaka kuzeeka fasta endekeza ngono Na pombe
Jamani ukiendekeza kwa watu tofautitofauti inachakaa. Kuna mkaka hapa ofisini alimpata mwanamke alipoenda naye kudu, acha aje aniambie yaani dada nimekutana na full mbumbwi, yaan unaweza kuweka mikono miwili na ukawa unapiga makofi yaan akalalamika haja enjoy kitu, akiaapia kuwa hatarudia tenayule mdada. Na hii nikajua kuwa ndiyo sababu ya hawa wakaka kumpata mwanamke kwenda naye siku moja alafu ndio harudi tena anatoka mazima kama ameachiwa gerezani vile . Jamani papuchi yatunzwa watoto. haya bisheni lakini ukweli unabakia pale pale. Jitunze mwanamke. Hata kama imeumbwa kama plastic jitunze.
Kama ni hivyo siyo kweli!Kutunza papuchi inamaana usiitumie hivyo, uitumie vizuri sio kila mtu wampa mwisho inakosa ladha bwana. habari ndiyo hiyo.
Mkuu na wewe unakubali kuwa ngono inazeesha?Usisahau na sigara pia, hizi nazo ni mbaya sana wavutaji waliokubuhu huonekana wazee sana kuliko umri wao halisi.
Mkorogo ndiyo, ila dudu hapana.Na mkorogo pia huzeesha na kukuondolea mivuto