Tatizo makaka ukiwatumia hata kama una shida tofauti, yy anajua unataka kumpiga kibom tu
Hata nyie mnatumiwa hiyo kitu...? bora tigo yenyewe inaenda direct...!Mi sipendi hiyo tabia ya kutumiana "tafadhali nipigie" mtu unapiga anakwambia nilitaka kukusalim tu!
I thought that service was meant for emergency incase mtu hana salio.
hili swala la vocha jamani!
Mie mwanamke haniambii nimpigie au mwongezee salio wala mambo ya aina hiyo.
At this era? Bado tunaongelea masalio ya simu? Kwanza simu ni anasa, bora aniandikie 'tafadhali niongezee fungu la mchicha'
hili swala la vocha jamani!
Mie mwanamke haniambii nimpigie au mwongezee salio wala mambo ya aina hiyo.
At this era? Bado tunaongelea masalio ya simu? Kwanza simu ni anasa, bora aniandikie 'tafadhali niongezee fungu la mchicha'
hili swala la vocha jamani!
Mie mwanamke haniambii nimpigie au mwongezee salio wala mambo ya aina hiyo.
At this era? Bado tunaongelea masalio ya simu? Kwanza simu ni anasa, bora aniandikie 'tafadhali niongezee fungu la mchicha'