wazili mkuu
Member
- Mar 19, 2019
- 36
- 33
- Thread starter
- #121
Mimi Kuna tabia ninayo ss niktak kujua yenuNdg wazili mkuu tupatie mfano
Mimi Kuna tabia ninayo ss niktak kujua yenuNdg wazili mkuu tupatie mfano
Una lala nao au unatngz tKutongoza mke wa mtu.
Au uwez nilalia ivo mmNa nikiolewa basi huyo mume ajipange
Aha wap uu ubaya bhnHio sio mbaya, ni private situation ya kupunguza uzito wa mawazo wa misambwanda iliyojazia barabarani
Badilisha profile pic...itakusaidia kuepuka hiyo haliNilisahau kujamba
Ata mm no mzee wa bKusalimia watu
KheeeeAu uwez nilalia ivo mm
Nalala nao sana.Una lala nao au unatngz t
Mbinguni hufiki😅Kuangalia tumiguu twembamba twa wanawake wa Kichagga wenye sura nzuriiiiiii, she's biringanya Nantlle tu toothpick twa kutembelea
Kupenda kusoma nyuzi za popoma gentaNi ipi tabia ambayo unajua zaidi ni mbaya kwa watu lakini unaipenda na ngumu kuacha
SawaMe mchaga matacore nimetoa wapi
kukojoa alafu nadanganya sijakojoa ili niunganishe humohumo!