Frustration
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,095
- 4,059
That's your problem, fuata ITIFAKI nani Superior kati ya mke na mtoto?Mkuu pagumu hapo, maana ukitaja mke wa bosi basi bosi atahisi utaanza kumgongea mkewe, afadhali hata kutaja mtoto, na hata hivyo ukitaja mtoto bosi atakuona hufai maana una nia ya kumgongea mwanawe.
ᴳᵒᵈ ᵇˡᵉˢˢ ᵀᵃⁿᶻᵃⁿⁱᵃ ⁿᵒᵗʰⁱⁿᵍ ᵉˡˢᵉ