Waminyato
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,197
- 4,513
hiyohiyo burudani na unapasuka.Siku zote u kibet kula hauwez kula Maisha yako yote, bali bet kama burudani uone unavyokula hela kiania aina tu.
hiyohiyo burudani na unapasuka.Siku zote u kibet kula hauwez kula Maisha yako yote, bali bet kama burudani uone unavyokula hela kiania aina tu.
GABA receptors zilikuwa hypnotized, diazepam hazikufanya kazi mkuu.Diazepam zilikusaidia kupata usingiz?
Braza hiyo id yako nimecheeka hadi siku yangu imenyooka hatariMimi maumivu ya kuliwa hayajawahi kuniuma sana. Ila kuna maumivu ya kukosa mihela mingi kwa dau dogo halafu inachana timu moja ndio imeniumiza sana, naumiaga sana.
Duh kwa hyo ulipata Anxiety kabisa mzee. Nikajua utaniGABA receptors zilikuwa hypnotized, diazepam hazikufanya kazi mkuu.
Mkuu endeleza storiJuventus 0 - 1 Empoli.
Nilikosa usingizi mwezi mzima na bodaboda yangu niliiona chungu mwezi mzima nilikuwa natoa deiwaka tu!.
Niliweka mkeka sportpesa wenye mechi 38(behewa)ambao endapo ningeshinda nilikuwa najikamatia 22 Milioni point something na niliweka buku 2 tu.Sitakaa nisahau aisee!.
Mechi zote nikafanikiwa kushinda na ikawa Imebaki mechi ya Juventus vs Empoli,ilikuwa mwanzo kabisa wa ligi na nakumbuka ndiyo Ronaldo amemaliza kuhama Juventus!,hakuna siku niliomba,kufunga na kusali kama wakati naisubiri hiyo mechi!.Kibaya zaidi nilimpa Juventus direct win na kibaya zaidi saaaaaana hiyo hela nishaanza kuipangia bajeti!.
Aisee baada ya ile mechi nilizima simu wiki nzima na sikupata usingizi takribani mwezi kila nikikumbuka!.
Omba yasikukute mkuu!.
Unaweza kukuta hutamani kufa lakini nafsi inashindwa kuhimili maumivuHu
Huyo jamaa yako ni mpuuzi tu hata Kama kafa
Siku real Madrid alivo ondoka na 300k,
Bado najitathimini kuhusu kubet
Sitasahau siku bayern anatoa draw ya 2-2 na stuttgart. Nilikuwa nakula 9.5M yaani goli linarudishwa dk ya 92, nilikosa usingzi wiki nzima, aisee depression ni mbaya sana.
Kwanini ID yangu imekufurahisha?Braza hiyo id yako nimecheeka hadi siku yangu imenyooka hatari
hiyohiyo burudani na unapasuka.
Huu utakuwa uchawi sio bureKuna jamaa mechi ilikuwa imebakiza dakika 20 ilikuwa 3-0 akaagiza bia round kwa wote pamoja na meza yetu mimi bila huruma nikachukua safari 5.
Dakika ya 80 akarudisha 3-1 jamaa akajua uhakika aka agiza nyama kilo 7 mi nikaa agiza na ugali kabisa. Nyama inafika mezani mpira unaisha 3-3 na ugali ndo una timba bila hiyana mi nika finya kiroho safi, jamaa hata finyango 6 hakumaliza. Maana ule mkeka alikuwa ana kulaa M16 na ilikuwa mechi moja tu.
Mara chache mzee mfano jana kapiga mtu 7Garatasaray mkuu,mbona namuonaga anapasuliwa mara kwa mara?
Yan inauma ni bora zichane mechi 3 4 5 ina mechi 1 au 2 kwenye mechi kuanzia 9 inauma sanaJuventus 0 - 1 Empoli.
Nilikosa usingizi mwezi mzima na bodaboda yangu niliiona chungu mwezi mzima nilikuwa natoa deiwaka tu!.
Niliweka mkeka sportpesa wenye mechi 38(behewa)ambao endapo ningeshinda nilikuwa najikamatia 22 Milioni point something na niliweka buku 2 tu.Sitakaa nisahau aisee!.
Mechi zote nikafanikiwa kushinda na ikawa Imebaki mechi ya Juventus vs Empoli,ilikuwa mwanzo kabisa wa ligi na nakumbuka ndiyo Ronaldo amemaliza kuhama Juventus!,hakuna siku niliomba,kufunga na kusali kama wakati naisubiri hiyo mechi!.Kibaya zaidi nilimpa Juventus direct win na kibaya zaidi saaaaaana hiyo hela nishaanza kuipangia bajeti!.
Aisee baada ya ile mechi nilizima simu wiki nzima na sikupata usingizi takribani mwezi kila nikikumbuka!.
Omba yasikukute mkuu!.
Nimelipokea hili chiefHuyo
Mtoe huyo Galatasaray atakuja kukulaza na viatu
Mimi huwa nikikumbuka natafuta mahali tulivu nalia kwanza
Huenda Ni Kingai huyo jamaaKwanini ID yangu imekufurahisha?