Mmh kweli?Tandika Sokoni
Habarini ndugu,
Hivi karibuni nimekua na uhitaji wa kufungua duka la simu na vifaa vyake ndani ya jiji la Dar lakini imekua changamoto kwangu kujua sehemu sahihi kwa ajili ya hiyo target market yangu ni watu wa kipato cha chini na cha kati.
Naomba msaada UBUNGO riverside,mbagala rangi 3, kijicho, kariakoo, gongo la mboto asante