Erick MR
Member
- Nov 11, 2022
- 77
- 152
Habari Wana JF ningependa mtazamo wenu katika hili mara nyingi sisi wanaume tunakutana na mikanganyiko katika maisha ya mahusiano hasa suala la kutafuta wa mtu sahihi wa kua naye kwenye maisha (ndoa) ,Je ni Sahihi kumtafuta mtu mjenge maisha wote au utengeneze maisha kwanza ndipo utafute mwenza?