Ujinga huo aliuanzisha magufuli na machawa wake sasa yeye kaenda machawa wake wanaendeleza ujinga uleHabari wanajukwaa.
Kumeibuka mtindo kila mtu anapopata nafasi ya kuongea kumsifia Rais hata kwa yale ambayo Rais hausiki wala hayajui.
Mfano Mrisho Ngasa alipoalikwa Kwenda Ivory Coast kama Legendary kipindi cha AFCON alipohojiwa alianza kumshukuru Rais Samia.
Binafsi yangu naona hii ni aina mpya ya Uchawa kwa Rais.
Mtoto wa Lowasa alifikia kusema bila ya Samia yawezekana Lowasa angekufa mapema, hii ni kama kumpa Samia mamlaka ya kimungu ilihali ni binadamu.
Swali langu kwenye wana Jamii Forum ni sawa kwa Rais kushukuriwa, kutajwa na kutukuzwa kwenye kila jambo?
Hakuwa mtakatifu alikuwa kibaka aliye cheza na akili za wajingaNyie nao bila kumtaje Magu huwa hamuwezi kuongea chochote. Huo ni ugonjwa
Rais hata kwa yale ambayo Rais hausiki wala hayajui
Hii ni sawa na kuzidolewa na wanao halafu wanakusifu kwa kuwapa uhuru wa kuongeaKwanza napenda kumshukuru mh rais kwa kutupa uhuru wa mawazo na pili kwa kuimplement 4Rs.
Huyo alikwenda na mkumbo tu !!Kuitwa Cote de vore alimshukuru kwanza mama
Lakini kwani ni yeye ndiye aliyewatuma wamsifu ??Huyu bibie ni too much
Atajadiliwa tu na atasemwa tuu ,hata mitume bado wanasemwa sembuse huyo diktetaHe is no more, tukiendelea ku deal na marehemu aliopo nae tuta deal nae akifa?
NCHI HII WAJINGA WAMEONGEZEKA SANAHabari wanajukwaa.
Kumeibuka mtindo kila mtu anapopata nafasi ya kuongea kumsifia Rais hata kwa yale ambayo Rais hausiki wala hayajui.
Mfano Mrisho Ngasa alipoalikwa Kwenda Ivory Coast kama Legendary kipindi cha AFCON alipohojiwa alianza kumshukuru Rais Samia.
Binafsi yangu naona hii ni aina mpya ya Uchawa kwa Rais.
Mtoto wa Lowasa alifikia kusema bila ya Samia yawezekana Lowasa angekufa mapema, hii ni kama kumpa Samia mamlaka ya kimungu ilihali ni binadamu.
Swali langu kwenye wana Jamii Forum ni sawa kwa Rais kushukuriwa, kutajwa na kutukuzwa kwenye kila jambo?
Ni zaidi ya uchawa..Unafiki na kujipendekeza
Kwanza kabisa ningependa kumshukuru mweshimiwa, mAma anaupiga mwingi,Habari wanajukwaa.
Kumeibuka mtindo kila mtu anapopata nafasi ya kuongea kumsifia Rais hata kwa yale ambayo Rais hausiki wala hayajui.
Mfano Mrisho Ngasa alipoalikwa Kwenda Ivory Coast kama Legendary kipindi cha AFCON alipohojiwa alianza kumshukuru Rais Samia.
Binafsi yangu naona hii ni aina mpya ya Uchawa kwa Rais.
Mtoto wa Lowasa alifikia kusema bila ya Samia yawezekana Lowasa angekufa mapema, hii ni kama kumpa Samia mamlaka ya kimungu ilihali ni binadamu.
Swali langu kwenye wana Jamii Forum ni sawa kwa Rais kushukuriwa, kutajwa na kutukuzwa kwenye kila jambo?
Hata mimi namsifu nimepata watoto mapacha.Habari wanajukwaa.
Kumeibuka mtindo kila mtu anapopata nafasi ya kuongea kumsifia Rais hata kwa yale ambayo Rais hausiki wala hayajui.
Mfano Mrisho Ngasa alipoalikwa Kwenda Ivory Coast kama Legendary kipindi cha AFCON alipohojiwa alianza kumshukuru Rais Samia.
Binafsi yangu naona hii ni aina mpya ya Uchawa kwa Rais.
Mtoto wa Lowasa alifikia kusema bila ya Samia yawezekana Lowasa angekufa mapema, hii ni kama kumpa Samia mamlaka ya kimungu ilihali ni binadamu.
Swali langu kwenye wana Jamii Forum ni sawa kwa Rais kushukuriwa, kutajwa na kutukuzwa kwenye kila jambo?
Hata mimi namsifu nimepata watoto mapacha.