Ni sahihi mkeo kukutumia text kama hii?

Nadhani hili ndio lilikuwa jibu murua kwake kabla ya kuleta bandiko huku, kama ulimuoa na ukamwambia Moja ya majukumu yake ni kukufungilia geti na anadai amechoka basi kibarua kimemshinda yakheee mrudishee akaoshe vyombo kwao
Mwanamke sio lazima aambiwe moja ya jukumu ni kufungua mlango hapana hilo ni jukumu lake automatically
 
Aamke anifungulie apigwe upepo usingizi umtoke nile fresh baada ya kurudi mihangahikoni kumtafutia mahitajio yake, vinginevyo utakuwa kama unakula kibudu.
 
Hiyo meseji ina ujumbe muhimu sana hapo, tumia akili mtu wangu, inaonekana wewe ukiingia nyumbani humuamsha mkeo ila humfanyi chochote na kutimiza majukumu yako ya ndoa, hivyo chukua ufunguo uwe unaingia kimya kimya na kukoroma tu maana haina haja umuamshe ilhali humpi haki yake.
 
mwanamke sio lazima aambiwe moja ya jukumu ni kufungua mlango hapana hilo ni jukumu lake automatically
Kwa mujibu wa hoja, Sio kwamba amekataa kufungua mlango, ila amechoka, kuchoka kunamaanisha Hilo suala la kufungua ni Kila siku ndilo limemchosha na ni uzuri ametoa ushauri Ili kuondoa kero pande zote mbili ushauri wake ni kuondoka na ufunguo wako Ili usije kulala nje Kwa sababu mlango haujafunguliwa, au asikereke Kwa sababu ya kukatisha usingizi wake kuja kukufungulia kitu ambacho amechoka. Hapo ni suala la kuelewa sio kuanza debate tena.
 
Kwahiyo ni ww sio rafiki yako

Mkuu si useme tu kuwe ni wewe uliyetumiwa details za ndani hizi unazijuaje?

Kuna kitu unakimiss mkuu katika suala zima la utaalamu wa kimawasiliano. Umesema ni ishu inayomhusu mshkaji wako but on between of your story and your comments unarespond as you're the one who is concerned with the story, yaani mhusika wa swahibu hili.
A lot of confussion and unprofessional!

kumbe ni wewe, umejisema bila kujua

Wakuu nyie mmesoma Cuba, Israel pamoja na Urusi

Mhusika mkuu wa mada ni mtoa mada na sio ''jamaa yake" anayesema yuko nae baa
 
Hiyo meseji ina ujumbe muhimu sana hapo, tumia akili mtu wangu, inaonekana wewe ukiingia nyumbani humuamsha mkeo ila humfanyi chochote na kutimiza majukumu yako ya ndoa, hivyo chukua ufunguo uwe unaingia kimya kimya na kukoroma tu maana haina haja umuamshe ilhali humpi haki yake.
Anajifanya kiziwi haelewi
 
kwa hiyo niwe natembea na funguo tu mfukoni kisa mwanamke hawezi fungua mlango??? hujafunga mlango unapoondoka asubuhi funguo unatembea nayo ili iweje?? haya ndo mambo mwanamke anakufokea tu kifalaaa....

Mkeo hana shughuli zingine? Anashinda tu nyumbani ili akufungulie wewe mlango? Akitoka huingii kwako?

Funguo ni nzito kiasi gani kuacha kutembea nayo muda wote?

Huwa sielewi kwanini watu mnapenda kufanyiwa mambo ambayo mnaweza kujifanyia wenyewe, unakuta mtu anataka hadi viatu avuliwe na mkewe huu ni uboya.

Nyie ndo mnaokataa kuweka shower kwenu ili tu mkeo akuchemshie maji na kuweka bafuni ukiamiani ndo kazi za mke hizo. Haya ni mawazo ya kimaskini.
 
Mkeo hana shughuli zingine? Anashinda tu nyumbani ili akufungulie wewe mlango? Akitoka huingii kwako?

Funguo ni nzito kiasi gani kuacha kutembea nayo muda wote?

Huwa sielewi kwanini watu mnapenda kufanyiwa mambo ambayo mnaweza kujifanyia wenyewe, unakuta mtu anataka hadi viatu avuliwe na mkewe huu ni uboya.

Nyie ndo mnaokataa kuweka shower kwenu ili tu mkeo akuchemshie maji na kuweka bafuni ukiamiani ndo kazi za mke hizo. Haya ni mawazo ya kimaskini.
Nasema hata baba yangu sijawahi ona akitembe na funguo na either mama au sisi tulikuwa tunamfungulia mlango ila alikuwa harudi saa 8 za usiku... hii case mwanaume anarudi saa 2 sasa why mwanamke asifungue mlango??
 
Nasema hata baba yangu sijawahi ona akitembe na funguo na either mama au sisi tulikuwa tunamfungulia mlango ila alikuwa harudi saa 8 za usiku... hii case mwanaume anarudi saa 2 sasa why mwanamke asifungue mlango??

Mkuu we have different views, kwetu hakuna hayo mambo kila mtu anapambana na hali yake ndo maana napata wakati mgumu kuelewa kwanini watu wanapenda kuwa so dependent kwa wengine. I just can't. But to each their own.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom