ni sahihi kweli?

beibe nasty

JF-Expert Member
Apr 11, 2012
1,640
523
kuna watu huwa wanaikera sana sasa sijui nipo sahihi au lah eti unamwambia ninashida naomba nisaidie eti anakwambia poa halafu anapotea na anakuchunia etii sa minawashangaa sana coz hakuna ulazima wakumsaidia mtu kutoa ni moyo tuu na jins ulivyoguswa sasa kinachomfanya achune ni nini na wala hujamlalamikia wala nini. Kiukweli wanakera watu wa hivi je nipo sahihi au nipo na makosa juu ya hawa watu wa aina hii?
 
Back
Top Bottom