Paul dybala
JF-Expert Member
- Jul 30, 2023
- 304
- 1,096
Ni kwa sababu ni sehemu iliyowahi kujengeka kuliko mkoa wowote ule ..Ila kiukweli dar na watu wake walioo wengi ni Wapuuzi Sana
Dar kwanza mteja kwao ni mjinga mmoja hivi...Yani unaenda dukani halafu muuzaji anakwambia Hana chenchi eti nikutafute chenchi...
Sehemu za chakula Sasa huko ndio balaa...unaweza ukakaa ukamaliza hata lisaa hakuna anekusikiliza Wala Nini na Bado ukapigwa Bei na hudumu zikawa mbovu vilevile..
Kingine uchafu Sasa Kuna siku nilipita nyuma kule agha kan hiyo halafu unaweza kuzimia
Dar kwanza mteja kwao ni mjinga mmoja hivi...Yani unaenda dukani halafu muuzaji anakwambia Hana chenchi eti nikutafute chenchi...
Sehemu za chakula Sasa huko ndio balaa...unaweza ukakaa ukamaliza hata lisaa hakuna anekusikiliza Wala Nini na Bado ukapigwa Bei na hudumu zikawa mbovu vilevile..
Kingine uchafu Sasa Kuna siku nilipita nyuma kule agha kan hiyo halafu unaweza kuzimia