joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 15,195
- 31,835
"Nyinyi wanaume Kila siku mnasema kuwa usimsomeshe mpenzi, Ila mwanamke akipinga kuwekeza kwa mwanaume mnamuona mbinfasi, sio mke sahihi, mchoyo.
Basi kwa taarifa yako, nyie wanaume ndiyo wabinafsi wakuu, kwa kumuacha mdada wa watu anakupa huduma zote, mapenzi, anakufulia, anakupikia, anakuoshea, anakununulia mazawadi, mamikopo juu na mwisho wa siku mnaoa mtu mwengine kabisa, nyie ni wabinafsi wakuu.
Ww ata usemeje, siwezi kuwekeza kwa mpenzi, kama ana upendo na Mimi wa ukweli, amenipenda na ana nia ya kunioa niwe mkewe ata niwe vipi atanioa tu, haijalishi kuwa eti nimekataa kuwekeza naye.
Basi kwa taarifa yako, nyie wanaume ndiyo wabinafsi wakuu, kwa kumuacha mdada wa watu anakupa huduma zote, mapenzi, anakufulia, anakupikia, anakuoshea, anakununulia mazawadi, mamikopo juu na mwisho wa siku mnaoa mtu mwengine kabisa, nyie ni wabinafsi wakuu."
Nikimpata mwanamke kama huyo 👆👆simwachi naoa moja kwa moja,mimi mpaka sasa hivi sijui hela ya mwanamke inafananaje,hata akiwa nayo siipangii bajeti kabisa.
Na wanawake kama hao ,wenye mioyo ya kutoa hela wako wachache sana,kwenye mia hawazidi kumi,nyie wanawake wabahili sana ndio asili yenu ubahili.