Ni sahihi kufanya maendeleo ya Kiuchumi na mpenzi wako?

Kuna watu ni vigeugeu haohao wanasema usisomeshe mchumba/mpenzi eti hapa wanataka ufanye uwekezaji na mtu hajulikani hata kwenu ajabu hii.
Ndo apo ata mi nashangaa, ilhali post zao za Kila siku ni usisomeshe mpenzi ambaye hujulikani ata kwao, usionge mpenzi leo hii wanasema eti ni mawazo ya kipumbavu, leo hii eti wanasema ubinafsi, watu ni wa ajabu eh?. Au kwasbb alie toa Mada ni mwanamke?. Kwmba mwanamke kuwekeza kwa mwanaume ni sawa Ila mwanaume kuwekeza kwa mwanamke si sawa?. Hawa watu ni wa ajabu Sana. Binafsi siwez kuwekeza kwa mwanaume ambaye ata kwao sitambuliki na sijui tuko wangap kwake.
 
Ni bora kila mtu afanye mambo yake kivyakevyake, ikitokea mkaamua kuishi pamoja yataeleweka mbele kwa mbele.
Apo ni sawa kabisa, ni bora Kila mtu afanye uwekezaji wake peke ake, Ila Mungu akija kubariki mkafanikiwa bs mnaunganisha nguvu mambo yanakuwa Safi. Lkn sio kuwekeza na maviwanja kbs, ah hapana kwa kweli.
 
mwanamke mbinafsi , mwenye umimi yani anakwambia nipe kiasi flani kwa ajili ya biashara zangu, afu ukimuuliza biashara gani hakwambii yeye anachojua ni umpe hela tu kwa ajili ya biashara zake ziko wapi ..? . hujuwi ila kuna siku unamuona kichwa chamoto ukimuuliza vipi anakwambia biashara zake haziendi.
kimbia mita mia piga kelele sema hunikamati tena. hilo ni bomu ukiweka ndani litakulipukia tu siku moja

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
hiyo noma.
 
mwanamke mbinafsi , mwenye umimi yani anakwambia nipe kiasi flani kwa ajili ya biashara zangu, afu ukimuuliza biashara gani hakwambii yeye anachojua ni umpe hela tu kwa ajili ya biashara zake ziko wapi ..? . hujuwi ila kuna siku unamuona kichwa chamoto ukimuuliza vipi anakwambia biashara zake haziendi.
kimbia mita mia piga kelele sema hunikamati tena. hilo ni bomu ukiweka ndani litakulipukia tu siku moja

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Umeona apo uchungu wa kuwekeza eh mahali ambapo haeleweki?, Angekuonyesha hiyo bihashara Sasa, lkn hataki. Hiyo ni risk aisee
 
Asante kwa kunisaidia, maana wanashindwa kuelewa swali nililouliza, kuwa unaweza kuwekeza kwa mpenzi tu ambaye hatambuliki kwenu wala ww hutambuliki kwao?

Alafu ndo hawahawa Kila siku wanakuja apa wanatoa shuhuda walivyowasomesha wapenzi wao na wakaachwa, walivyotoa pesa kea wapenzi wao alafu wakaachwa.
Wanasemaga mchumba anasomeshwa cherehani tu
Halafu wao wanataka tuingie kwenye hiyo betting..wallah siwezi.
 
kwani kaulizia mume au mpenzi.?
Safi Sana, Asante kwa kuelewa swali langu mana naona wengi hawajaelewa namaanisha nini. Mie nimeulizia kuwekeza kwa mpenzi ambaye hatambuliki kwenu wala hutambuliki kwao. Je unaweza kuwekeza kwake?
 
Siku hizi mambo yanakwenda kisheria... Hakuna kuzurumika.. Kwa kila kitu mwaandika majina mawili na kila mtu anabakia na kopi. Kama unahisi uko na mtu kwa ajili ya kumchuna tu yaan hauna upendo naye. Unapita tu. Bora upite tu. Ila kama mpo kimaisha, hiyo yaweza ongeza thaman kwako
Unachukulia simple Sana mkuu, lakini hujawah kuona mtu analia kwasbb hiyo.
 
Mimi najitambua mkuu, sijawahi kupoteza chochote!

Lakini nimeona watu wengi wakijuta maisha yao yote hata wengine wakijiua kwa kusomesha wapenzi wao kisha wakishahitimu wanawageuka, watu wanafanya Maendeleo na wapenzi wao au wachumba zao baadae ni majanga makubwa! Watu wakiwekeza ukweni lakini baadae ni uadui mkubwa!

Jamii yetu imejaa matukio mengi ya kujifunza mkuu, sio lazima mpaka likutokee wewe ndio ujifunze, elimu ya jamii inayotuzunguka ni elimu kubwa zaidi kuliko hata elimu ya shule formal education!
Kweli kabisa, huyu hajawahi kushuhudia watu wanaolia mpk wengine wanafikia hatua ya kujinyonga kbs Kisa hili hili swala. Mimi nimeshuhudia kabisa mdada kakopa kazini mkopo milioni 15 kwa ajili ya kumpa mpenzi wanunue kiwanja na kujenga nyumba, wakishamaliza ndio amuoe. Na jina la hati limeandikwa la mwanaume mana si kajua atakuwa ni mume tu. Huwezi amini kaja kuolewa mwanamke mwenzie na mkopo analipa mpaka leo nusura awe chizi.

Nyengine nimeshuhudia kabisa mdada kamsomesha mkaka chuo, kawazaidi ukweni, kawasomesha hadi wadogo wa mwanaume. Miaka mitano, anatoa pesa sake anajua huyu ni mume. Huwezi amini Yule mkaka kamaliza kusoma kapata kazi ktk shirika mojawapo la mawasiliano analipwa pesa ndefu, mkaka kaoa mwanamke mwengine. Embu fikiria ni maumivu gani ambayo huyo mdada amekutana nayo, kwa kuwekeza kwa mtu ambaye alihisi ameuteka moyo wake lkn sio?.

Yani nina shuhuda nyingi Sana, ss kutokana na hayo Mambo kuwatokea watu ninaowafahamu ktk jamii, kwa kweli kumenifanya niwe na roho ya kutofikiria kuwekeza kwa mwanaume kwa kweli, sbb nimejifunza kutoka kwa watu baadhi teyari.
 
Habari wakuu,

Je, ni sahihi kufanya MAENDELEO ya kiuchumi na mpenzi wako ambaye hajulikani nyumbani wala hajawahi kufika nyumbani kwao, hutambuliki, bali tu kwa marafiki baadhi?

Haijalishi mahusiano yenu yamedumu kwa muda mrefu au kwa muda mfupi? Mfano, kujenga nyumba pamoja, kununua viwanja pamoja, kuanzisha miradi mbalimbali pamoja, ni sahihi na unaweza kufanya hivyo na mpenzi wako? Na je hiyo ni ishara kuwa unampenda na kumuamini mpenzi wako Kwamba mnaaminiana?

Binafsi, Mimi siwezi kabisa kufanya miradi na mpenzi ambae hata nyumbani hatambuliki wala sitambuliki. Hata angekuwa anatambulika, mimi siwezi. Maana siku
Habari wakuu,

Je, ni sahihi kufanya MAENDELEO ya kiuchumi na mpenzi wako ambaye hajulikani nyumbani wala hajawahi kufika nyumbani kwao, hutambuliki, bali tu kwa marafiki baadhi?

Haijalishi mahusiano yenu yamedumu kwa muda mrefu au kwa muda mfupi? Mfano, kujenga nyumba pamoja, kununua viwanja pamoja, kuanzisha miradi mbalimbali pamoja, ni sahihi na unaweza kufanya hivyo na mpenzi wako? Na je hiyo ni ishara kuwa unampenda na kumuamini mpenzi wako Kwamba mnaaminiana?

Binafsi, Mimi siwezi kabisa kufanya miradi na mpenzi ambae hata nyumbani hatambuliki wala sitambuliki. Hata angekuwa anatambulika, mimi siwezi. Maana siku ya siku mmetengana inakuwaje?,

Na yaweza kuwa hata ulichukua mkopo kwa ajili ya huo mradi na hati ya hizo Mali mliandika jina la mpenzi wako. Je utavumilia aondoke na hizo Mali kweli?. Binafsi sijawahi kuwaza kufanya MAENDELEO na mpenzi, bali nimewahi kuwaza kufanya miradi mbali mbali na mume.
Homo
siku mmetengana inakuwaje?,

Na yaweza kuwa hata ulichukua mkopo kwa ajili ya huo mradi na hati ya hizo Mali mliandika jina la mpenzi wako. Je utavumilia aondoke na hizo Mali kweli?. Binafsi sijawahi kuwaza kufanya MAENDELEO na mpenzi, bali nimewahi kuwaza kufanya miradi mbali mbali na mum
Homo homini lupus( Thomas Hobbes)
 
"Binafsi, Mimi siwezi kabisa kufanya miradi na mpenzi ambae hata nyumbani hatambuliki wala sitambuliki. Hata angekuwa anatambulika, mimi siwezi. Maana siku ya siku mmetengana inakuwaje?,"

Wewe hapo umeelewa nini.Alafu kama ulishindwa kuwa mtoaji (hata vitu vidogo) wakati ukiwa ktk hatua ya uchumba,usitegemee kuwa mtoaji wakati mkiwa kwenye ndoa,kwani kitu chochote cha kesho basi msingi wake hujengwa leo.

Alafu hata kwenye ndoa kutengana kupo.
Nyinyi wanaume Kila siku mnasema kuwa usimsomeshe mpenzi, Ila mwanamke akipinga kuwekeza kwa mwanaume mnamuona mbinfasi, sio mke sahihi, mchoyo.

Basi kwa taarifa yako, nyie wanaume ndiyo wabinafsi wakuu, kwa kumuacha mdada wa watu anakupa huduma zote, mapenzi, anakufulia, anakupikia, anakuoshea, anakununulia mazawadi, mamikopo juu na mwisho wa siku mnaoa mtu mwengine kabisa, nyie ni wabinafsi wakuu.

Ww ata usemeje, siwezi kuwekeza kwa mpenzi, kama ana upendo na Mimi wa ukweli, amenipenda na ana nia ya kunioa niwe mkewe ata niwe vipi atanioa tu, haijalishi kuwa eti nimekataa kuwekeza naye.
 
Namuunga mkono victims ni wengi wa haya mambo.

nyinyi wanaume ni vinara wa kugoma kuwekeza kwa mwanamke asiye mkeo,
Leo iweje rahisi kwa mwanamke?

kama mna malengo oaneni fanyeni maendeleo.
Sawa sawa, hakuna kuwekeza kwa mwanaume ambaye ata kwao hutambuliki wala hatambuliki kwenu.
 
Ndo apo ata mi nashangaa, ilhali post zao za Kila siku ni usisomeshe mpenzi ambaye hujulikani ata kwao, usionge mpenzi leo hii wanasema eti ni mawazo ya kipumbavu, leo hii eti wanasema ubinafsi, watu ni wa ajabu eh?. Au kwasbb alie toa Mada ni mwanamke?. Kwmba mwanamke kuwekeza kwa mwanaume ni sawa Ila mwanaume kuwekeza kwa mwanamke si sawa?. Hawa watu ni wa ajabu Sana. Binafsi siwez kuwekeza kwa mwanaume ambaye ata kwao sitambuliki na sijui tuko wangap kwake.
Unasoma tu nakuachana nao!
 
Back
Top Bottom