Ni sahihi kero za Muungano ni kipaumbele cha Rais Samia kuliko Katiba Mpya?

nguruka wa kig0ma

JF-Expert Member
Jan 16, 2020
2,946
2,929
Wakuu,Mimi nimejiuliza sana kuhusu Huyu Rais Samia,bado sijapata majibu, nikaona nine niwaulize,swali hili hapo juu ili tutafakari pamoja na kupata jibu sahihi.

Maana kama naona ile methari isemayo mcheza kwao hutunzwa ndiyo inayofanyakazi kwa awamu hii kama ilivyokuwa awamu ya tano( mwenye akili watanielewa).

Alipoingia Samia, tumeona kipaumbele chake cha kwanza kuwatoa masheikh wa uamsho ambao ni wanzanzibari wenzake.

Mbona Set Singh bado anasota mahabusu?

Aliahidi mengi leo anaahirisha Baraza la Mawaziri kuangalia kero za Muungano, je wakuu hizo ni muhimu kuliko mabadiliko ya Katiba ambayo pande zote mbili za Muungano zinalia machozi?

MUNGU TUSAIDIE
 
Jifunze kuandika vizuri, kero za Muungano zipo kabla ya madai ya katiba mpya.
Inaonesha una chuki binafsi na Wazanzibari.
Umeumia masheikh wa Uamsho kuachiwa.
You are selfish.
 
Jifunze kuandika vizuri, kero za Muungano zipo kabla ya madai ya katiba mpya.
Inaonesha una chuki binafsi na Wazanzibari.
Umeumia masheikh wa Uamsho kuachiwa.
You are selfish.
Lakini ujumbe umefika,
Jadiri hoja,kama unajibu ya swali liweke hapa.
Kero za muungano hata mwenye rasimu ya warioba zimo,hizo zingeweza kitatuliwa kupitia katiba mpya
 
Huyu ni Z'bar kwanza. Tangu siku ya kwanza hotuba ya kuapishwa makamu wa rais, muhimu kwake ilikuwa ni kero za muungano. Bahati mbaya rais mwenyewe ni kero namba moja. Huwezi kuleta tozo bara kwa manufaa ya Z'bar.
 
Wakuu,Mimi nimejiuliza sana kuhusu Huyu Rais Samia,bado sijapata majibu, nikaona nine niwaulize,swali hili hapo juu ili tutafakari pamoja na kupata jibu sahihi.

Maana kama naona ile methari isemayo mcheza kwao hutunzwa ndiyo inayofanyakazi kwa awamu hii kama ilivyokuwa awamu ya tano( mwenye akili watanielewa).

Alipoingia Samia, tumeona kipaumbele chake cha kwanza kuwatoa masheikh wa uamsho ambao ni wanzanzibari wenzake.

Mbona Set Singh bado anasota mahabusu?

Aliahidi mengi leo anaahirisha Baraza la Mawaziri kuangalia kero za Muungano, je wakuu hizo ni muhimu kuliko mabadiliko ya Katiba ambayo pande zote mbili za Muungano zinalia machozi?

MUNGU TUSAIDIE
mzee naona hii nchi bado hujaijuwa au unababaisha tu watu nchi hii Tanzania ni nchi ya kanisa katoliki amri yoyote nilazima ipasishwe na kanisa hicho kikao ni babaisha bwege tu hakuna kitu hapo , ni usanii tu
 
Kama ni mfuatiliaji wa siasa za ccm, hakuna jambo la kushangaza hapo.
-Awamu ya nne - bandari ya Bagamoyo(ilibuma).
-Awamu ya tano - kuendeleza Chato
-Awamu ya sita - kwa wataalamu wa hesabu jibu liko wazi.

CCM hoyee!
 
Wakuu,Mimi nimejiuliza sana kuhusu Huyu Rais Samia,bado sijapata majibu, nikaona nine niwaulize,swali hili hapo juu ili tutafakari pamoja na kupata jibu sahihi.

Maana kama naona ile methari isemayo mcheza kwao hutunzwa ndiyo inayofanyakazi kwa awamu hii kama ilivyokuwa awamu ya tano( mwenye akili watanielewa).

Alipoingia Samia, tumeona kipaumbele chake cha kwanza kuwatoa masheikh wa uamsho ambao ni wanzanzibari wenzake.

Mbona Set Singh bado anasota mahabusu?

Aliahidi mengi leo anaahirisha Baraza la Mawaziri kuangalia kero za Muungano, je wakuu hizo ni muhimu kuliko mabadiliko ya Katiba ambayo pande zote mbili za Muungano zinalia machozi?

MUNGU TUSAIDIE
Angekuepo Mchungaji Christopher Mtikila angeweza kudadavua haya mambo vizuri tatizo tumebakia na wapinzani wanasiasa wachumia matumbo Yao .
 
Angekuepo Mchungaji Christopher Mtikila angeweza kudadavua haya mambo vizuri tatizo tumebakia na wapinzani wanasiasa wachumia matumbo Yao .
Ukumbuke kipindi cha mtikila udikteta haukuwepo.
Polisi walikuwa wanawatumikia wananchi japo kwa ℅ndogo.
Lakini polisi ya sasa,na vyombo vyote vya ulinzi na usalama ni mali ya ccm.

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom