markdendesi
Member
- Sep 7, 2012
- 45
- 5
1. Ni raha sana pale unapokuwa unashida ya kifedha mara ghafla unayemdai kwa muda mrefu anakuletea pesa nyumbani
2. Ni raha sana pale unapofanya mtihani mgumu na ukaandika OP na matokeo yakitoka unakuwa umefaulu
3. Ni raha sana pale unapoamua kula bata mpaka kuku wanakasirika
2. Ni raha sana pale unapofanya mtihani mgumu na ukaandika OP na matokeo yakitoka unakuwa umefaulu
3. Ni raha sana pale unapoamua kula bata mpaka kuku wanakasirika