little finger
JF-Expert Member
- Oct 13, 2018
- 384
- 986
Habari za saa hii wakuu.
Nimepata changamoto kwenye swala la speed ya internet, natumia simu (4G) speed ni ndogo sana.
Minara inaishia bars 3 kama inavyoonekana kwenye picha. Nipo maeneo ya mbezi ya kimara, nyumba ipo kwa chini.
Swali langu ni jinsi gani naweza kutatua changamoto hii, nimeshajaribu line zote tatu (Airtel, voda, tigo) zote minara ipo chini.
Je kuna kifaa au namna ambayo naweza boost hii internet?
Natanguliza shukrani.
Nimepata changamoto kwenye swala la speed ya internet, natumia simu (4G) speed ni ndogo sana.
Minara inaishia bars 3 kama inavyoonekana kwenye picha. Nipo maeneo ya mbezi ya kimara, nyumba ipo kwa chini.
Swali langu ni jinsi gani naweza kutatua changamoto hii, nimeshajaribu line zote tatu (Airtel, voda, tigo) zote minara ipo chini.
Je kuna kifaa au namna ambayo naweza boost hii internet?
Natanguliza shukrani.