October
JF-Expert Member
- Oct 5, 2009
- 2,145
- 92
Nimekua nikifuatilia maoni mbalimbali katika Forum hii na vyombo vya habari nikawa sijapata jibu halisi kuhusiana na msimamo wa chama cha CUF ( ´chama cha wananchi´) katika mambo kadhaa yanayotokea katika taifa hili ambapo ningeomba wadau munieleweshe
1.Nini Kauli na Msimamo wa CUF katika waraka uliotolewa na Kanisa Katoliki?
2.Nini Kauli na Msimamo wa CUF katika waraka uliotolewa na Shura ya Maimamu?
3.Nini Maoni ya CUF na Msimamo wao kuhusiana na Kadhi?
4.Mwisho ni nini msimamo wa CUF katika dhana ya Tanzania kujiunga na OIC
Wadau ningependa kupata ufafanuzi wa haya ili nijue
1.Nini Kauli na Msimamo wa CUF katika waraka uliotolewa na Kanisa Katoliki?
2.Nini Kauli na Msimamo wa CUF katika waraka uliotolewa na Shura ya Maimamu?
3.Nini Maoni ya CUF na Msimamo wao kuhusiana na Kadhi?
4.Mwisho ni nini msimamo wa CUF katika dhana ya Tanzania kujiunga na OIC
Wadau ningependa kupata ufafanuzi wa haya ili nijue
Last edited: