Habari jf ,naona upepo umebadilika sana na hii ndio siasa sasa .
Kwa walio karibu na Absalom Kibanda, Ansbert Ngurumo, Neville Meena na Jesse Kwayu wawa ulize ni nini misimamo wao kuhusu Bandari zetu na DP World ?
Ikumbukwe hawa ni waandishi wa kitabu cha ' I am the state .'
Kwa walio karibu na Absalom Kibanda, Ansbert Ngurumo, Neville Meena na Jesse Kwayu wawa ulize ni nini misimamo wao kuhusu Bandari zetu na DP World ?
Ikumbukwe hawa ni waandishi wa kitabu cha ' I am the state .'