Ni nini msimamo wa Absalom Kibanda, Ansbert Ngurumo, Neville Meena na Jesse Kwayu kuhusu DP world?

RNA

JF-Expert Member
Mar 27, 2013
1,584
2,683
Habari jf ,naona upepo umebadilika sana na hii ndio siasa sasa .

Kwa walio karibu na Absalom Kibanda, Ansbert Ngurumo, Neville Meena na Jesse Kwayu wawa ulize ni nini misimamo wao kuhusu Bandari zetu na DP World ?

Ikumbukwe hawa ni waandishi wa kitabu cha ' I am the state .'​
 
Habari jf ,naona upepo umebadilika sana na hii ndio siasa sasa .

Kwa walio karibu na Absalom Kibanda, Ansbert Ngurumo, Neville Meena na Jesse Kwayu wawa ulize ni nini misimamo wao kuhusu Bandari zetu na DP World ?

Ikumbukwe hawa ni waandishi wa kitabu cha ' I am the state .'​
Nyie watu siku si nyingi mtavua nguo kabisa kwa kuwehuka!

Kwa hiyo saivi mmeamia kwenye misimamo ya watu?? Sio mkataba tena??

Daaah🤣🤣🤣
 
Habari jf ,naona upepo umebadilika sana na hii ndio siasa sasa .

Kwa walio karibu na Absalom Kibanda, Ansbert Ngurumo, Neville Meena na Jesse Kwayu wawa ulize ni nini misimamo wao kuhusu Bandari zetu na DP World ?

Ikumbukwe hawa ni waandishi wa kitabu cha ' I am the state .'​
Hao ni waandishi wajinga waliomsema vibaya Mwamba Jiwe Magufuli kama vile mwandishi Munga Tehenan alivyomwandikaga vibaya Mwalimu Nyerere. Munga Tehenan alishughulikiwa na karma na hawa watashughulikiwa na karma!
 
Habari jf ,naona upepo umebadilika sana na hii ndio siasa sasa .

Kwa walio karibu na Absalom Kibanda, Ansbert Ngurumo, Neville Meena na Jesse Kwayu wawa ulize ni nini misimamo wao kuhusu Bandari zetu na DP World ?

Ikumbukwe hawa ni waandishi wa kitabu cha ' I am the state .'​
Hayo mapumbavu sana achana nayo,yamewekwa mifukoni mwa Nape Nnauye
 
Hawa waandishi ni lazima wafuatiliwe tujue ni njaa au la
Lazima wajulikane msimamo wao coz kunakuwa na vitu vya kijinga wanajitokeza haraka kusemea. Hapa tumeambiwa kuna uhuru wa kuongea. Waseme kitu bwana
 
Hizo ni speaker, ngoja walioshika mic waongee na wao uwaone watakavyo payuka kama Home theatre system za 1000w.
 
Hao ni waandishi wajinga waliomsema vibaya Mwamba Jiwe Magufuli kama vile mwandishi Munga Tehenan alivyomwandikaga vibaya Mwalimu Nyerere. Munga Tehenan alishughulikiwa na karma na hawa watashughulikiwa na karma!
Munga alimwandika vipi Mwalimu Kiongozi,hebu tupe dondoo na alishughulikiwaje na karma?!
 
Jesse Kwayu, Mtumishi wa Bwana.

Hata kama hapendi hiki kitu wameshazibwa midomo
 
Habari jf ,naona upepo umebadilika sana na hii ndio siasa sasa .

Kwa walio karibu na Absalom Kibanda, Ansbert Ngurumo, Neville Meena na Jesse Kwayu wawa ulize ni nini misimamo wao kuhusu Bandari zetu na DP World ?

Ikumbukwe hawa ni waandishi wa kitabu cha ' I am the state .'​
Wamelambishwa huwezi sikia wakifunga vinywa vyao
 
Back
Top Bottom