hakuna mwanamama mnafiki kama huyo. Tulitarajia kuwa kwa kuwa ni mtu wa mungu basi angeanika maovu ya ccm kwa kuwahurumia watanzania maskini lakini yupo kimya, ni yeye na posho tu.mama lokatare.
mama lokatare.
Hakuna msafi ndani ya ccm ndugu,hao ni wachumia tumbo tu!