namanyele
JF-Expert Member
- Oct 19, 2012
- 1,852
- 608
baada ya cool9 kuna kajamaa kalikuwa kanaitwa SHETANI ALIYEBARIKIWA naye alikuwa noma sana ingawa alikuwa hana mwili ni mwembamba na sio mrefu,yeye ngumi sio sana ila mateke na sarakasi anaweza kukuua lakini mpaka umkute sehemu zenye ukuta ndo anakubamizia,sehemu za wazi unaweza kumpiga,kutokana na ukorofi wake polisi walimwambia awe anaripoti kituon kila ifikapo jion,alikuwa mchafu chafu na akipendelea kushona vitenge shati na bukta,nilikuwa namfahamu sana huyu jamaa kipindi naishi iringa