Uwezekano huo upo, kwani kwenye kila dili migongano haikosekani. Suala kubwa ni namna bora ya kutatua migongano hiyo. Lakini all in all, watawalipaje hawa waathirika waliokunywa dawa feki?Idimi inawezekana kuna "disagreement" maana ninavyofahamu kile kiwanda walipata mbia nadhani toka Ujermani kwa ajili ya kutengeneza hizo dawa na lazima zilihakikiwa kabla ya kuanza kusambazwa
Ndo dili alokataa mwakyusa likamkosti.
Inatakiwa tuige sheria za China ni kunyonga tu watu kama hawa.
Nimesoma mahali hapa hapa JF, kwamba kiwanda kile ni mali ya familia ya akina Madabida. Ni makada maarufu wa magamba kwa mkoa wa Dar. Tutajibeba mwaka huu
Agree with you, tena tuanze na Lowassa, Sheria za China safi sanaInatakiwa tuige sheria za China ni kunyonga tu watu kama hawa.
Nimesoma mahali hapa hapa JF, kwamba kiwanda kile ni mali ya familia ya akina Madabida. Ni makada maarufu wa magamba kwa mkoa wa Dar. Tutajibeba mwaka huu
Huo ndio ukweli.Niliwahi kufanya field hapo TPI,zamani kidogo. kipindi hicho kiwanda cha kutengeneza ARV kikiwa bado kwenye makaratasi.Kulingana na maelezo ya meneja,serikali ilikuwa ina hisa katika kile kiwanda(wewe haujiulizi waziri amepata wapi nguvu za kumsimamisha mkuu wa kitengo cha quality assurance wa kiwanda),hii inamaanisha kuna uwezekano serikali ndio yenye hisa nyingi zaidi hivyo kuwa na uwezo wa kufanya maamuzi.Pia kulikuwa na tetesi mama Ndomondo (yule mama aliyekuwa director wa TFDA) anahusika na kiwanda cha TPI.Hapa hakuna cha dawa feki,TPI watakuwa walichemsha wakati wa production wakaamua kufunika kombe mwaharamu apite.
GENERAL | ||
---|---|---|
Salutation | Honourable | Member picture |
First Name: | Zarina | |
Middle Name: | Shamte | |
Last Name: | Madabida | |
Member Type: | Special Seat | |
Constituent: | No Constituency | |
Political Party: | CCM | |
Office Location: | Box 3850, Dar Es Salaam | |
Office Phone: | +255 754 400804 | |
Ext.: | ||
Office Fax: | ||
Office E-mail: | zmadabida@parliament.go.tz | |
Member Status: | Current Member | |
Date of Birth | 30 April 1953 |
EDUCATION | ||||
---|---|---|---|---|
School Name/Location | Course/Degree/Award | Start Date | End Date | Level |
Wailes Primary School | Primary Education | 1961 | 1967 | PRIMARY |
Jangwani Secondary School | O-Level Education | 1968 | 1971 | SECONDARY |
University of Dar Es Salaam | BSc. (Pharmacy) | 1976 | 1979 | GRADUATE |
University of Ghent, Belgium | Pharmacist | 1981 | 1981 | CERTIFICATE |
Government Chemist Technical School | Diploma (Chemical Analyst) | 1972 | 1974 | DIPLOMA |
EMPLOYMENT HISTORY | |||
---|---|---|---|
Company Name | Position | From Date | To Date |
The Parliament of Tanzania | Member - Special Seat | 2010 | 2015 |
Tanzania Pharmaceutical Industry | Director | 1997 | Todate |
Mpewani Pharmacy | Director | 1994 | 1997 |
NAPCO | Marketing Manager | 1981 | 1993 |
Government Chemists | Chemical Technician | 1974 | 1975 |
POLITICAL EXPERIENCE | |||
---|---|---|---|
Ministry/Political Party/Location | Position | From | To |
Chama Cha Mapinduzi, CCM | Chairperson - UWT (Dar Es Salaam Region) | 2008 | |
Chama Cha Mapinduzi, CCM | Chairperson (Ward Economics) | 2006 | |
Chama Cha Mapinduzi, CCM | Guardian (NAPCO Branch) | 1983 | |
Government Chemists | Chemical Technician | 1974 | 1975 |
wamiliki ni Watanzania ngozi nyeusi wakiongozwa na Rama Madabida. wamefanya kazi kubwa kufikia hapo kutokana na ushindani toka makampuni ya watanzania wenye asili ya India! kuna uwezekano wa uzembe wakati wa kuzalisha hizo dawa ama hujuma! ushauri ni kwa bodi ya wakurugenzi na menejimenti kuwa makini sana ktk uzalishaji wa madawa yenye viwango!