DAVIES KILANGI
Senior Member
- Nov 25, 2018
- 174
- 117
Wana tech habari ya muda huu, nataraji kuwa kila mmoja wetu ameamka salama kwa wenye changamoto ya afya mungu azidi kuwapigania.
Nisipoteze muda kwa wanao jua ni namna gani naweza kudownload series zilizo tafasriwa zikiwa katika file moja tofauti na kipande kimoja kimoja, pamoja na movies za kutafsiriwa zikiwa HD.
Nawasilisha
Nisipoteze muda kwa wanao jua ni namna gani naweza kudownload series zilizo tafasriwa zikiwa katika file moja tofauti na kipande kimoja kimoja, pamoja na movies za kutafsiriwa zikiwa HD.
Nawasilisha