jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 19,265
- 36,332
Wakuu,kama tunavyofahamu kuna wabunge zaidi ya 50 kutoka Zanzibar na wengine huchaguliwa kutoka baraza la wakilishi kuja kwenye Bunge la Muungano ambalo kimsingi ni Bunge la Tanganyika kupitia Koti la muungano.
Ambapo wabunge hao kutoka Zanzibar huja kujadili masula ya Tanganyika,hivyo ni wakati muafaka sasa Tanganyika kuchagua baadhi ya wabunge wawe wanaingia kwenye kikao cha baraza la wawakilishi hili likiwa na lengo kuu la kuimalisha na kudumisha muungano kama wanavyofanya wao huku.
N.B:Wabunge kutoka Zanzibar wahudhurie na kushiriki mijadara ya Wizara za muungano,zisizo za muungano wawe wanatoka nje.
Ambapo wabunge hao kutoka Zanzibar huja kujadili masula ya Tanganyika,hivyo ni wakati muafaka sasa Tanganyika kuchagua baadhi ya wabunge wawe wanaingia kwenye kikao cha baraza la wawakilishi hili likiwa na lengo kuu la kuimalisha na kudumisha muungano kama wanavyofanya wao huku.
N.B:Wabunge kutoka Zanzibar wahudhurie na kushiriki mijadara ya Wizara za muungano,zisizo za muungano wawe wanatoka nje.