Ukija Tanganyika kila kitu ni cha Muungano, ukienda Zanzibar kila kitu ni cha Wazanzibari peke yao

Mwande na Mndewa

JF-Expert Member
Feb 26, 2021
950
2,866
Zanzibar wakitaka kufanya chochote wanakuta kwenye (bunge la Zanzibar) baraza la wawakilishi pale Chukwani wanatunga na kupitisha sheria taratibu kanuni kwa ajili ya Zanzibar peke yao na kuweka kwenye katiba yao kando kinachoitwa katiba ya muungano.

Na ukiingia Zanzibar katiba inayotumika ni Zanzibar, Sheria Kanuni na taratibu za SMZ. Ikumbukwe Zanzibar wana
  • SERIKALI
  • BUNGE
  • MAHAKAMA
  • VIKOSI MAALUM
Ukija Tanganyika kila kitu ni cha Muungano. Ukiwa zanzibar kila kitu ni cha zanzibar bila kujali katiba ya muungano.

Case study suala la bandari.
 
Soon kakisiwa katakuwa hivi 👇🏻👇🏻👇🏻
Screenshot_20230621-184942_Facebook.jpg
 
Bila kitambulisho hiki kule Zanzibar utakuwa ni foreigner tu kama wengineo unazurura tu hatambuliwi kwa lolote wala chochote kwenye kila kitu cha SMZ.
Iwe ajira ardhi na maswala yote ya kiraia hata kupiga kura hupigi kwa Rais wa Zanzibar na wawakilishi
 
Watanganyika wanataka
SERIKALI YA TANGANYIKA KUSIMAMIA MAMBO NA RASILIMALI ZA TANGANYIKA pekee NDIO SULUHISHO LA KUDUMU
Hivi katiba ya Zanzibar inavyofanya kwa MASUALA na RASILIMALI za Zanzibar na kuwatambua Wazanzibar peke yao
Katiba ya Tanganyika itafanya hivyo hivyo kwa upande wa Tanganyika
Kisha masuala machache ya muungano ya ulinzi nje fedha ndani ndio yawe ya muungano
Kwa ufupi NI WAKATI MUAFAKA KWA MALI RASILIMALI NA KILA KITU CHA TANGANYIKA KILINDWE NA KATIBA YA TANGANYIKA kando ya masuala machache ya MUUNGANO
NI HATARI SANA WAZANZIBAR KUWA NA UWEZO WA KUSAINI MIKATABA RASILIMALI ZA TANGANYIKA WANAWEZA KUIPA HATA SMZ MIGODI YA TANGANYIKA KUSIKIA mali mbalimbali za Tanganyika mfano MIGODI YA MAKAA YA MAWE KIWIRA INAMILIKIWA na SMZ na Wazanzibar kwa ajili ya Wazanzibar peke yao daima dumu
 
Zanzibar wakitaka kufanya chochote wanakuta kwenye (bunge la Zanzibar) baraza la wawakilishi pale Chukwani wanatunga na kupitisha sheria taratibu kanuni kwa ajili ya Zanzibar peke yao na kuweka kwenye katiba yao kando kinachoitwa katiba ya muungano.

Na ukiingia Zanzibar katiba inayotumika ni Zanzibar, Sheria Kanuni na taratibu za SMZ. Ikumbukwe Zanzibar wana
  • SERIKALI
  • BUNGE
  • MAHAKAMA
  • VIKOSI MAALUM
Ukija Tanganyika kila kitu ni cha Muungano. Ukiwa zanzibar kila kitu ni cha zanzibar bila kujali katiba ya muungano.

Case study suala la bandari.
Nyerere alichemka sana kwenye huu Muungano
 
Zanzibar wakitaka kufanya chochote wanakuta kwenye (bunge la Zanzibar) baraza la wawakilishi pale Chukwani wanatunga na kupitisha sheria taratibu kanuni kwa ajili ya Zanzibar peke yao na kuweka kwenye katiba yao kando kinachoitwa katiba ya muungano.

Na ukiingia Zanzibar katiba inayotumika ni Zanzibar, Sheria Kanuni na taratibu za SMZ. Ikumbukwe Zanzibar wana
  • SERIKALI
  • BUNGE
  • MAHAKAMA
  • VIKOSI MAALUM
Ukija Tanganyika kila kitu ni cha Muungano. Ukiwa zanzibar kila kitu ni cha zanzibar bila kujali katiba ya muungano.

Case study suala la bandari.
Wazanzibar wanathamin vyao wanaonea faghari vya kwao wanavitunza na kuvidumisha watanganyika mwaonea AIBU UTANGANYIKA wenu mnaukataa ZANZIBAR nayo imekataa kuwa koloni la watu weusi
KAZI mnayo WADANGANYIKA
 
Zanzibar wakitaka kufanya chochote wanakuta kwenye (bunge la Zanzibar) baraza la wawakilishi pale Chukwani wanatunga na kupitisha sheria taratibu kanuni kwa ajili ya Zanzibar peke yao na kuweka kwenye katiba yao kando kinachoitwa katiba ya muungano.

Na ukiingia Zanzibar katiba inayotumika ni Zanzibar, Sheria Kanuni na taratibu za SMZ. Ikumbukwe Zanzibar wana
  • SERIKALI
  • BUNGE
  • MAHAKAMA
  • VIKOSI MAALUM
Ukija Tanganyika kila kitu ni cha Muungano. Ukiwa zanzibar kila kitu ni cha zanzibar bila kujali katiba ya muungano.

Case study suala la bandari.
Tanganyika ipi ?
 
Zanzibar wakitaka kufanya chochote wanakuta kwenye (bunge la Zanzibar) baraza la wawakilishi pale Chukwani wanatunga na kupitisha sheria taratibu kanuni kwa ajili ya Zanzibar peke yao na kuweka kwenye katiba yao kando kinachoitwa katiba ya muungano.

Na ukiingia Zanzibar katiba inayotumika ni Zanzibar, Sheria Kanuni na taratibu za SMZ. Ikumbukwe Zanzibar wana
  • SERIKALI
  • BUNGE
  • MAHAKAMA
  • VIKOSI MAALUM
Ukija Tanganyika kila kitu ni cha Muungano. Ukiwa zanzibar kila kitu ni cha zanzibar bila kujali katiba ya muungano.

Case study suala la bandari.
Usishangae. Hivyo ndivyo Nyerere alivyotaka. Kifupi vunjeni Muungano tugawane mbao kwa Zanzibar hautakiwi kabisa Muungano wenu huu.
 
Zanzibar wakitaka kufanya chochote wanakuta kwenye (bunge la Zanzibar) baraza la wawakilishi pale Chukwani wanatunga na kupitisha sheria taratibu kanuni kwa ajili ya Zanzibar peke yao na kuweka kwenye katiba yao kando kinachoitwa katiba ya muungano.

Na ukiingia Zanzibar katiba inayotumika ni Zanzibar, Sheria Kanuni na taratibu za SMZ. Ikumbukwe Zanzibar wana
  • SERIKALI
  • BUNGE
  • MAHAKAMA
  • VIKOSI MAALUM
Ukija Tanganyika kila kitu ni cha Muungano. Ukiwa zanzibar kila kitu ni cha zanzibar bila kujali katiba ya muungano.

Case study suala la bandari.
Afu unakuta jitu linajisifia ujingahuu muungano unakera mwa kweli
 
Zanzibar wakitaka kufanya chochote wanakuta kwenye (bunge la Zanzibar) baraza la wawakilishi pale Chukwani wanatunga na kupitisha sheria taratibu kanuni kwa ajili ya Zanzibar peke yao na kuweka kwenye katiba yao kando kinachoitwa katiba ya muungano.

Na ukiingia Zanzibar katiba inayotumika ni Zanzibar, Sheria Kanuni na taratibu za SMZ. Ikumbukwe Zanzibar wana
  • SERIKALI
  • BUNGE
  • MAHAKAMA
  • VIKOSI MAALUM
Ukija Tanganyika kila kitu ni cha Muungano. Ukiwa zanzibar kila kitu ni cha zanzibar bila kujali katiba ya muungano.

Case study suala la bandari.
Hata sarafu wanatumia ya huku
 
Changu changu, chako changu......haishangazi wazanzibari tupu wamesaini mkataba wa kuuza bandari za Tanganyika.
 
Back
Top Bottom